Loading...
Loading...
- Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa , tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title :
link :

soma pia


Mwambawahabari
Kikosi cha Simba kimeondoka Visiwani Zanzibar leo asubuhi kwa ndege kurejea jijini Dar es Salaam kwa maandalizi ya mwisho ya mechi yao ya kesho ligi kuu Tanzania bara dhidi ya Yanga kwenye uwanja wa Uhuru. 

Afisa Habari wa Simba Haji Manara amesema akili yao yote ni kuifunga Yanga kesho kwenye uwanja wa Uhuru huku akiwataka Mashabiki wa Simba waende uwanjani kwa wingi kuishangilia timu yao. 

“Kambi ya Zanzibar ilikuwa nzuri sana naamini tumefikia malengo yetu, hapa tunaondoka na leo jioni Dar tutafanya mazoezi ya mwisho, nawaomba Mashabiki wa Simba wazidi kuishangilia timu yao,” Manara ameuambia mtandao huu wakati waondoka hapa Zanzibar kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Abeid Amani Karume. 

Simba walikuwa kambini mjini hapa tangu Jumatatu ya Oktoba 23 na leo Ijumaa Oktoba 27 wamerejea nyumbani Dar es salam kuwavaa Yanga. 




Hivyo makala

yaani makala yote Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/10/mwambawahabari-kikosi-cha-simba.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to " "

Post a Comment

Loading...