Loading...

RAIS WA ZANZIBAR AFUTA UTEUZI MKURUGENZI MKUU WA SHIRIKA LA NYUMBA

Loading...
RAIS WA ZANZIBAR AFUTA UTEUZI MKURUGENZI MKUU WA SHIRIKA LA NYUMBA - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa RAIS WA ZANZIBAR AFUTA UTEUZI MKURUGENZI MKUU WA SHIRIKA LA NYUMBA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : RAIS WA ZANZIBAR AFUTA UTEUZI MKURUGENZI MKUU WA SHIRIKA LA NYUMBA
link : RAIS WA ZANZIBAR AFUTA UTEUZI MKURUGENZI MKUU WA SHIRIKA LA NYUMBA

soma pia


RAIS WA ZANZIBAR AFUTA UTEUZI MKURUGENZI MKUU WA SHIRIKA LA NYUMBA

Kwa mujibu wa uwezo aliopewa chini ya Kifungu Namba 53 cha Katiba ya Zanzibar ya 1984 na Kifungu 12 (3) cha Sheria ya Utumishi wa Umma Namba 2 ya mwaka 2011, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Dkt. Ali Mohamed Shein, amefuta uteuzi wa MKURUGENZI MKUU WA SHIRIKA LA NYUMBA NDUGU MOHAMMED HAFIDH RAJAB kuanzia leo tarehe 12 Oktoba, 2017.

Taarifa hii ni kwa mujibu wa Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Zanzibar, Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee.

IMETOLEWA NA IDARA YA HABARI MAELEZO
ZANZIBAR
12 OKTOBA, 2017


Hivyo makala RAIS WA ZANZIBAR AFUTA UTEUZI MKURUGENZI MKUU WA SHIRIKA LA NYUMBA

yaani makala yote RAIS WA ZANZIBAR AFUTA UTEUZI MKURUGENZI MKUU WA SHIRIKA LA NYUMBA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala RAIS WA ZANZIBAR AFUTA UTEUZI MKURUGENZI MKUU WA SHIRIKA LA NYUMBA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/10/rais-wa-zanzibar-afuta-uteuzi.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "RAIS WA ZANZIBAR AFUTA UTEUZI MKURUGENZI MKUU WA SHIRIKA LA NYUMBA"

Post a Comment

Loading...