Loading...
title : VIINGILIO MECHI YA YANGA NA SIMBA JUMAMOSI UWANJA WA UHURU JIJINI DAR ES SALAAM
link : VIINGILIO MECHI YA YANGA NA SIMBA JUMAMOSI UWANJA WA UHURU JIJINI DAR ES SALAAM
VIINGILIO MECHI YA YANGA NA SIMBA JUMAMOSI UWANJA WA UHURU JIJINI DAR ES SALAAM
Mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kati ya Young Africans na Simba utafanyika Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam siku ya Jumamosi Oktoba 28, 2017 kama ilivyotangazwa awali. Hakuna mabadiliko.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) jioni hii, viingilio katika mchezo huo kwamba watazamaji watakaohitaji kukaa katika Jukwaa Kuu watalipia Sh 20,000 na Mzunguko ni Sh 10,000.
Hivyo makala VIINGILIO MECHI YA YANGA NA SIMBA JUMAMOSI UWANJA WA UHURU JIJINI DAR ES SALAAM
yaani makala yote VIINGILIO MECHI YA YANGA NA SIMBA JUMAMOSI UWANJA WA UHURU JIJINI DAR ES SALAAM Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala VIINGILIO MECHI YA YANGA NA SIMBA JUMAMOSI UWANJA WA UHURU JIJINI DAR ES SALAAM mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/10/viingilio-mechi-ya-yanga-na-simba.html
0 Response to "VIINGILIO MECHI YA YANGA NA SIMBA JUMAMOSI UWANJA WA UHURU JIJINI DAR ES SALAAM"
Post a Comment