Loading...
title : Wafanyakazi 143 wa Ofisi ya Rais Utumishi Wahamia Dodoma Awamu ya Pili
link : Wafanyakazi 143 wa Ofisi ya Rais Utumishi Wahamia Dodoma Awamu ya Pili
Wafanyakazi 143 wa Ofisi ya Rais Utumishi Wahamia Dodoma Awamu ya Pili
Mwambawahabari
Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bibi. Dorothy Aidan Mwaluko akiagana na Kiongozi wa msafara wa magari yaliyobeba mizigo ya ofisi hiyo ikiwa ni muendelezo wa zoezi la kuhamia Dodoma leo Jijini Dar es Salaam. Jumla ya wafanyakazi 143 wameagwa katika awamu hii ya pili, ambapo awamu ya kwanza waliondoka wafanyakazi 78. Katikati mwenye miwani Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu Bibi. Jane Kajiru.
Gari lililobeba nyaraka na vifaa vya Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora likijiandaa kuondoka katika viwanja vya ofisi hiyo iliyopo Magogoni leo jijini Dar es Salaam. Jumla ya wafanyakazi 143 wameagwa katika awamu hii ya pili, ambapo awamu ya kwanza waliondoka wafanyakazi 78.
Baadhi ya wafanyakazi wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wakiwapungia mikono ya kwaheri madereva wa magari yaliyobeba mizigo ya ofisi hiyo ikiwa ni muendelezo wa zoezi la kuhamia Dodoma leo Jijini Dar es Salaam. Jumla ya wafanyakazi 143 wameagwa katika awamu hii ya pili, ambapo awamu ya kwanza waliondoka wafanyakazi 78.
Picha na: Frank Shija – MAELEZO
Hivyo makala Wafanyakazi 143 wa Ofisi ya Rais Utumishi Wahamia Dodoma Awamu ya Pili
yaani makala yote Wafanyakazi 143 wa Ofisi ya Rais Utumishi Wahamia Dodoma Awamu ya Pili Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala Wafanyakazi 143 wa Ofisi ya Rais Utumishi Wahamia Dodoma Awamu ya Pili mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/10/wafanyakazi-143-wa-ofisi-ya-rais_30.html
0 Response to "Wafanyakazi 143 wa Ofisi ya Rais Utumishi Wahamia Dodoma Awamu ya Pili"
Post a Comment