Loading...

WAZIRI MPINA AWAAGA WATUMISHI WA NEMC

Loading...
WAZIRI MPINA AWAAGA WATUMISHI WA NEMC - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WAZIRI MPINA AWAAGA WATUMISHI WA NEMC, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : WAZIRI MPINA AWAAGA WATUMISHI WA NEMC
link : WAZIRI MPINA AWAAGA WATUMISHI WA NEMC

soma pia


WAZIRI MPINA AWAAGA WATUMISHI WA NEMC

 Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Luhaga Mpina akitia saini katika kitabu cha wageni kwenye Ofisi za Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira NEMC  alipokwenda kuagana nao na kutoa neno baada ya kufanya nao kazi kama Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira kabla ya kuteuliwa kuwa Waziri wa Wizara Mpya ya Mifugo na Uvuvi.
 Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina akizungumza wakati wa kuagana na watumishi wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira NEMC, kulia ni mkaguzi wa Mazingirakanda ya Mashariki Bw. Jafari Chimgege na kushoto ni Dkt. Ruth Rugisha Mkurugenzi wa Ufuatiliaji na Utekelezaji wa Baraza.
 Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Luhaga Mpina akizungumza na baadhi  ya viongozi katika Management ya Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira NEMC.
Waziri Mpina akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi wa watumishi wa Baraza la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira NEMC.


Hivyo makala WAZIRI MPINA AWAAGA WATUMISHI WA NEMC

yaani makala yote WAZIRI MPINA AWAAGA WATUMISHI WA NEMC Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala WAZIRI MPINA AWAAGA WATUMISHI WA NEMC mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/10/waziri-mpina-awaaga-watumishi-wa-nemc.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "WAZIRI MPINA AWAAGA WATUMISHI WA NEMC"

Post a Comment

Loading...