Loading...

ZIMAMOTO YAENDELEA KUVUTWA SHATI, KVZ YAREJEA KILELENI

Loading...
ZIMAMOTO YAENDELEA KUVUTWA SHATI, KVZ YAREJEA KILELENI - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa ZIMAMOTO YAENDELEA KUVUTWA SHATI, KVZ YAREJEA KILELENI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : ZIMAMOTO YAENDELEA KUVUTWA SHATI, KVZ YAREJEA KILELENI
link : ZIMAMOTO YAENDELEA KUVUTWA SHATI, KVZ YAREJEA KILELENI

soma pia


ZIMAMOTO YAENDELEA KUVUTWA SHATI, KVZ YAREJEA KILELENI

Na Abubakar Khatib Kisandu, Zanzibar.
Ligi kuu soka ya Zanzibar kanda ya Unguja imeendelea tena 

leo kwa kupigwa michezo miwili katika uwanja wa Amaan 

ambapo saa 8 za mchana Zimamoto na Kipanga zilishindwa 

kutambiana baada ya kutoka sare ya kufungana bao 1-1.

Bao la Kipanga limefungwa na Nassor Ali wakati bao la Zimamoto likiwekwa nyavuni na Hassan Haji.

Saa 10 za jioni katika uwanja huo KVZ wakaitandika Polisi bao 1-0 kwa lililofungwa na Salum Songoro dakika ya 79.

Ligi hiyo itaendelea tena kesho kwa kupigwa mchezo mmoja katika uwanja wa Amaan saa 10:00 za jioni kati ya Jang’ombe boys dhidi ya Chuoni.


Hivyo makala ZIMAMOTO YAENDELEA KUVUTWA SHATI, KVZ YAREJEA KILELENI

yaani makala yote ZIMAMOTO YAENDELEA KUVUTWA SHATI, KVZ YAREJEA KILELENI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala ZIMAMOTO YAENDELEA KUVUTWA SHATI, KVZ YAREJEA KILELENI mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/10/zimamoto-yaendelea-kuvutwa-shati-kvz.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "ZIMAMOTO YAENDELEA KUVUTWA SHATI, KVZ YAREJEA KILELENI"

Post a Comment

Loading...