Loading...

CCM Yaikamata Kaskazini...... Yashinda Kata Nne Jimboni za Arumeru Mashariki

Loading...
CCM Yaikamata Kaskazini...... Yashinda Kata Nne Jimboni za Arumeru Mashariki - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa CCM Yaikamata Kaskazini...... Yashinda Kata Nne Jimboni za Arumeru Mashariki, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : CCM Yaikamata Kaskazini...... Yashinda Kata Nne Jimboni za Arumeru Mashariki
link : CCM Yaikamata Kaskazini...... Yashinda Kata Nne Jimboni za Arumeru Mashariki

soma pia


CCM Yaikamata Kaskazini...... Yashinda Kata Nne Jimboni za Arumeru Mashariki


Chama cha Mapinduzi (CCM), kimeshinda kata nne za Arumeru Mashariki ambazo wagombea wa Chadema wamejitoa. Kata hizo na matokeo yake ni kama ifuatavyo, Makiba Samson Laizer (CCM) kura 2,029 na Joyce Martin (Chadema) kura 608.

Kata ya Ambuleni, Jasephat Jackson (CCM) kura 2,057 na

Dominick Mollel (Chadema) kura 1,201. Kata ya Leguruki

Andason Sikawa (CCM) kura 3,023 na Daniel Mbise(Chadema) kura 287.

Kata ya Maroroni, Yoha Kaaya (CCM) kura 3,568 na Asanterabi Mbise (Chadema) 1,201.


Hivyo makala CCM Yaikamata Kaskazini...... Yashinda Kata Nne Jimboni za Arumeru Mashariki

yaani makala yote CCM Yaikamata Kaskazini...... Yashinda Kata Nne Jimboni za Arumeru Mashariki Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala CCM Yaikamata Kaskazini...... Yashinda Kata Nne Jimboni za Arumeru Mashariki mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/11/ccm-yaikamata-kaskazini-yashinda-kata.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "CCM Yaikamata Kaskazini...... Yashinda Kata Nne Jimboni za Arumeru Mashariki"

Post a Comment

Loading...