Loading...

MEJA JENERALI PROJEST RWEGASIRA NA MEJA JENERALI SIMON MUMWI WASTAAFU UTUMISHI WA JESHI LA WANANCHI WA TANZANIA

Loading...
MEJA JENERALI PROJEST RWEGASIRA NA MEJA JENERALI SIMON MUMWI WASTAAFU UTUMISHI WA JESHI LA WANANCHI WA TANZANIA - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MEJA JENERALI PROJEST RWEGASIRA NA MEJA JENERALI SIMON MUMWI WASTAAFU UTUMISHI WA JESHI LA WANANCHI WA TANZANIA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MEJA JENERALI PROJEST RWEGASIRA NA MEJA JENERALI SIMON MUMWI WASTAAFU UTUMISHI WA JESHI LA WANANCHI WA TANZANIA
link : MEJA JENERALI PROJEST RWEGASIRA NA MEJA JENERALI SIMON MUMWI WASTAAFU UTUMISHI WA JESHI LA WANANCHI WA TANZANIA

soma pia


MEJA JENERALI PROJEST RWEGASIRA NA MEJA JENERALI SIMON MUMWI WASTAAFU UTUMISHI WA JESHI LA WANANCHI WA TANZANIA


Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Projest Rwegasira   (Mstaafu) akiagana na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi  , Jenerali Venance Mabeyo, baada ya kumaliza utumishi katika Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wakati wa hafla ya kuwaaga watumishi wa jeshi hilo, iliyofanyika leo katika Kambi ya  Twalipo iliyopo Barabara ya Kilwa,jijini Dar es Salaam.
 PIX 2..
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali   Projest Rwegasira (kushoto ) na Meja Jenerali Simon Mumwi (kulia), wakisukumwa kwenye gari inayotembea mwendo wa   taratibu kuashiria kumalizika kwa utumishi wao katika Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), wakati wa hafla ya kuwaaga, iliyofanyika leo katika Kambi ya Twalipo iliyopo Barabara ya Kilwa, jijini Dar es Salaam.
 Gwaride la Heshima likipita mbele ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Projest Rwegasira (Mstaafu),   wakati wa hafla ya kuwaaga watumishi wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), iliyofanyika leo katika Kambi ya Twalipo iliyopo Barabara ya Kilwa, jijini Dar es Salaam.
 Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,Meja Jenerali  Projest Rwegasira (Mstaafu)  na Katibu Mkuu Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa,Dk. Florens Turuka(kulia), wakizungumza wakati wa hafla ya kuwaaga watumishi wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), iliyofanyika leo katika Kambi ya Twalipo iliyopo Barabara ya Kilwa, jijini Dar es Salaam. Ambapo Meja Jenerali Rwegasira (Mstaafu), aliagwa baada ya kumaliza utumishi wake katika jeshi hilo. 
 Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,Meja Jenerali Projest Rwegasira (Mstaafu), akiagana na  Mnadhimu Mkuu wa JWTZ Meja Jenerali, James Mwakibolwa baada ya  hafla ya kuwaaga watumishi wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), iliyofanyika leo katika Kambi ya Twalipo iliyopo Barabara ya Kilwa,jijini Dar es Salaam. Ambapo Meja Jenerali   Projest Rwegasira (Mstaafu), aliagwa baada ya kumaliza utumishi wake katika jeshi hilo.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Projest Rwegasira (Mstaafu), akikagua gwaride la heshima wakati wa hafla ya kuwaaga watumishi wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), iliyofanyika leo katika Kambi ya Twalipo iliyopo Barabara ya Kilwa, jijini Dar es Salaam.
Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi


Hivyo makala MEJA JENERALI PROJEST RWEGASIRA NA MEJA JENERALI SIMON MUMWI WASTAAFU UTUMISHI WA JESHI LA WANANCHI WA TANZANIA

yaani makala yote MEJA JENERALI PROJEST RWEGASIRA NA MEJA JENERALI SIMON MUMWI WASTAAFU UTUMISHI WA JESHI LA WANANCHI WA TANZANIA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MEJA JENERALI PROJEST RWEGASIRA NA MEJA JENERALI SIMON MUMWI WASTAAFU UTUMISHI WA JESHI LA WANANCHI WA TANZANIA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/11/meja-jenerali-projest-rwegasira-na-meja.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MEJA JENERALI PROJEST RWEGASIRA NA MEJA JENERALI SIMON MUMWI WASTAAFU UTUMISHI WA JESHI LA WANANCHI WA TANZANIA"

Post a Comment

Loading...