Loading...

Mtandao wa Muziki Tanzania umempa hongera Msama na kampuni yake ya Msama Auction Mart

Loading...
Mtandao wa Muziki Tanzania umempa hongera Msama na kampuni yake ya Msama Auction Mart - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Mtandao wa Muziki Tanzania umempa hongera Msama na kampuni yake ya Msama Auction Mart, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Mtandao wa Muziki Tanzania umempa hongera Msama na kampuni yake ya Msama Auction Mart
link : Mtandao wa Muziki Tanzania umempa hongera Msama na kampuni yake ya Msama Auction Mart

soma pia


Mtandao wa Muziki Tanzania umempa hongera Msama na kampuni yake ya Msama Auction Mart

kwa kazi nzuri ambayo amekuwa akiendelea nayo muda mrefu ya kukamata wezi wa kazi za muziki na hivyo kutoa mchango mkubwa katika kupunguza uharamia na kuhamasisha uchangiaji wa pato la Taifa kupitia kazi za sanaa. 

Katika pongezi hizo Mwenye kiti wa Tanzania Musicians Network , John Kitime amesema, 'Kwa niaba ya wanachama wa chama chetu Tanzania Musicians Network, naomba nitoe shukrani kwa mchango wako mkubwa ambao kampuni yako inaufanya katika jitihada za kupunguza uharamia wa kazi za sanaa Dar es Salaam.

 Tuko tayari kushirikiana nawe kila wakati kwa lengo la kuboresha mazingira yanayohusu uboreshwaji wa stahiki za wanamuziki wakati wowote.Tunarudia tena kushukuru kwa hili'

Msama amekuwa akifanya kazi hii ya kukamata kazi zisizo halali kwa miaka mingi, na Kitime amekuwa mwanaharakati wa swala la Hakimiliki kwa miaka mingi pia.
 Mkurugenzi wa Kampuni ya Udalali,Msama Auction Mart Alex Msama akizungumza na Waandishi wa Habari mapema jana jijini Dar,kuhusiana na hatua aliyofikia ya kuwakamata maharamia wa kazi zaWasanii na Wakwepa kodi kupitia tasnia hiyo,ampao pia amewashukuru wadau wa Muziki mbalimbali wakiwemo Mtandao wa Muziki Tanzania kumpongeza na kumuunga mkono katika mapambano hayo ya kazi za Wasanii hapa nchini


Mwenye kiti wa Tanzania Musicians Network , John Kitime 


Hivyo makala Mtandao wa Muziki Tanzania umempa hongera Msama na kampuni yake ya Msama Auction Mart

yaani makala yote Mtandao wa Muziki Tanzania umempa hongera Msama na kampuni yake ya Msama Auction Mart Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Mtandao wa Muziki Tanzania umempa hongera Msama na kampuni yake ya Msama Auction Mart mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/11/mtandao-wa-muziki-tanzania-umempa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Mtandao wa Muziki Tanzania umempa hongera Msama na kampuni yake ya Msama Auction Mart"

Post a Comment

Loading...