Loading...

Masheha Mkoa wa Kaskazini Unguja wapewea taarifa ya ujenzi wa barabara

Loading...
Masheha Mkoa wa Kaskazini Unguja wapewea taarifa ya ujenzi wa barabara - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Masheha Mkoa wa Kaskazini Unguja wapewea taarifa ya ujenzi wa barabara, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Masheha Mkoa wa Kaskazini Unguja wapewea taarifa ya ujenzi wa barabara
link : Masheha Mkoa wa Kaskazini Unguja wapewea taarifa ya ujenzi wa barabara

soma pia


Masheha Mkoa wa Kaskazini Unguja wapewea taarifa ya ujenzi wa barabara

 Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi Usafirishaji na Mawasiliano Mustafa Aboudjumbe kushoto akijibu maswala mbalimbali yalioulizwa katika Kikao Maalum cha kutoa taarifa kwa Masheha kuhusiana na Ujenzi wa Barabara inayoanzia Chuini,Mfenesini,Mahonda hadi Mkokotoni inayotarajiwa kuanza mwezi wa January hafla iliofanyika katika ukumbi wa  Wizara hio Kisauni Wilaya ya Magharibi B Unguja.
 Sheha wa Shehia ya Matemwe Denge Khamis Silima akiuliza maswali katika Kikao Maalum cha kutoa taarifa kwa Masheha kuhusiana na Ujenzi wa Barabara inayoanzia Chuini,Mfenesini,Mahonda hadi Mkokotoni inayotarajiwa kuanza mwezi wa January hafla iliofanyika katika ukumbi wa  Wizara hio Kisauni Wilaya ya Magharibi B Unguja.
 Mkuu wa Wilaya ya Kaskazini A Hassan Ali Kombo akiliza maswali katika Kikao Maalum cha kutoa taarifa kwa Masheha kuhusiana na Ujenzi wa Barabara inayoanzia Chuini,Mfenesini,Mahonda hadi Mkokotoni inayotarajiwa kuanza mwezi wa January hafla iliofanyika katika ukumbi wa  Wizara hio Kisauni Wilaya ya Magharibi B Unguja.
 Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Ayoub Mohammed Mahmoud kulia akitolea ufafanuzi baadhi ya maswali yalioulizwa katika Kikao Maalum cha kutoa taarifa kwa Masheha kuhusiana na Ujenzi wa Barabara inayoanzia Chuini,Mfenesini,Mahonda hadi Mkokotoni inayotarajiwa kuanza mwezi wa January hafla iliofanyika katika ukumbi wa  Wizara hio Kisauni Wilaya ya Magharibi B Unguja.
Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Vuai Mwinyi Mohammed kulia akitolea ufafanuzi baadhi ya maswali yalioulizwa katika Kikao Maalum cha kutoa taarifa kwa Masheha kuhusiana na Ujenzi wa Barabara inayoanzia Chuini,Mfenesini,Mahonda hadi Mkokotoni inayotarajiwa kuanza mwezi wa January hafla iliofanyika katika ukumbi wa  Wizara hio Kisauni Wilaya ya Magharibi B Unguja.

PICHANA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.




Hivyo makala Masheha Mkoa wa Kaskazini Unguja wapewea taarifa ya ujenzi wa barabara

yaani makala yote Masheha Mkoa wa Kaskazini Unguja wapewea taarifa ya ujenzi wa barabara Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Masheha Mkoa wa Kaskazini Unguja wapewea taarifa ya ujenzi wa barabara mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/12/masheha-mkoa-wa-kaskazini-unguja.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Masheha Mkoa wa Kaskazini Unguja wapewea taarifa ya ujenzi wa barabara"

Post a Comment

Loading...