Loading...

Mashindano ya Cecafa Kutimua vumbi kesho

Loading...
Mashindano ya Cecafa Kutimua vumbi kesho - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Mashindano ya Cecafa Kutimua vumbi kesho, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Mashindano ya Cecafa Kutimua vumbi kesho
link : Mashindano ya Cecafa Kutimua vumbi kesho

soma pia


Mashindano ya Cecafa Kutimua vumbi kesho

 Wachezaji wa Zanzibar Heroes wakijifua huko Machakos nchini Kenya wakijiandaa na kombe la Challenge. Mashindano yanaanza kesho

Na Abubakar Khatib Kisandu, Machakos Kenya.
Mashindano ya CECAFA SENIOR CHALENJ CUP yataanza kutimua vumbi kesho nchini Kenya.

Wenyeji Kenya watafungua pazia hilo kwa mchezo wa kundi A dhidi ya Rwanda mchezo utakaopigwa majira ya saa 8:00 za mchana katika uwanja wa Machakos.

Saa 10:00 za jioni kesho kutakuwana na mchezo mwengine wa kundi A ambapo Tanzania Bara watacheza na Libya.

Michuano hii itafikia tamati Disemba 17, 2017.


Hivyo makala Mashindano ya Cecafa Kutimua vumbi kesho

yaani makala yote Mashindano ya Cecafa Kutimua vumbi kesho Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Mashindano ya Cecafa Kutimua vumbi kesho mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/12/mashindano-ya-cecafa-kutimua-vumbi-kesho.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Mashindano ya Cecafa Kutimua vumbi kesho"

Post a Comment

Loading...