Loading...

YANGA WAPANGWA KUNDI MOJA NA SINGIDA UNITED KOMBE LA MAPINDUZI

Loading...
YANGA WAPANGWA KUNDI MOJA NA SINGIDA UNITED KOMBE LA MAPINDUZI - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa YANGA WAPANGWA KUNDI MOJA NA SINGIDA UNITED KOMBE LA MAPINDUZI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : YANGA WAPANGWA KUNDI MOJA NA SINGIDA UNITED KOMBE LA MAPINDUZI
link : YANGA WAPANGWA KUNDI MOJA NA SINGIDA UNITED KOMBE LA MAPINDUZI

soma pia


YANGA WAPANGWA KUNDI MOJA NA SINGIDA UNITED KOMBE LA MAPINDUZI

Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya Tanzania bara timu ya soka ya Yanga imepangwa kundi moja na Singida United katika ushiriki wa michuano ya kombe la Mapinduzi inayotarajiwa kuanza mwishoni mwa mwezi huu huko visiwani Zanzibar.
 
Yanga imepangwa katika kundi B lenye jumla ya timu sita huku kundi A lenye timu za Simba na Azam FC lina jumla ya timu tano.

Bingwa Mtetezi wa kombe hilo ni Azam ambao wapo kundi moja na mabingwa wa kombe la Shirikisho Simba sambamba na URA kutoka Uganda,Jamhuri na Mwenge zote za Zanzibar

MAPINDUZI CUP JANUARY 2018

GROUP A
1.Azam FC
2.Jamhuri SC
3.Mwenge SC
4.Simba SC
5.URA

GROUP B
1.JKU
2.Mlandege FC.
3.Singida United
4.Taifa ya Jang'ombe
5.Yanga SC na
6.Zimamoto


Hivyo makala YANGA WAPANGWA KUNDI MOJA NA SINGIDA UNITED KOMBE LA MAPINDUZI

yaani makala yote YANGA WAPANGWA KUNDI MOJA NA SINGIDA UNITED KOMBE LA MAPINDUZI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala YANGA WAPANGWA KUNDI MOJA NA SINGIDA UNITED KOMBE LA MAPINDUZI mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2017/12/yanga-wapangwa-kundi-moja-na-singida.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "YANGA WAPANGWA KUNDI MOJA NA SINGIDA UNITED KOMBE LA MAPINDUZI"

Post a Comment

Loading...