Loading...
title : Afya : Naibu Spika Atembelea Bohari ya Dawa (MSD)
link : Afya : Naibu Spika Atembelea Bohari ya Dawa (MSD)
Afya : Naibu Spika Atembelea Bohari ya Dawa (MSD)
Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD) Bwana Laurean Bwanakunu, akizungumza na Naibu Spika, Tulia Akson alipofanya ziara ya kikazi ya siku moja kutembelea MSD kuona shughuli mbalimbali za uhifadhi dawa na Vifaa tiba jijini Dar es Salaam jana.
Hapa Naibu Spika, Tulia Akson akitembelea ghara la kuhifadhi dawa na vifaa tiba.
Naibu Spika akipata maelezo.
Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD) Bwana Laurean Bwanakunu, akiagana na Naibu Spika, Tulia Akson baada ya kumaliza ziara hiyo ya kikazi.
Hivyo makala Afya : Naibu Spika Atembelea Bohari ya Dawa (MSD)
yaani makala yote Afya : Naibu Spika Atembelea Bohari ya Dawa (MSD) Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala Afya : Naibu Spika Atembelea Bohari ya Dawa (MSD) mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/01/afya-naibu-spika-atembelea-bohari-ya.html
0 Response to "Afya : Naibu Spika Atembelea Bohari ya Dawa (MSD)"
Post a Comment