Loading...

DKT. MAHIGA AKUTANA NA TIMU YA KUCHUNGUZA MAUAJI YA ASKARI NCHINI DRC

Loading...
DKT. MAHIGA AKUTANA NA TIMU YA KUCHUNGUZA MAUAJI YA ASKARI NCHINI DRC - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa DKT. MAHIGA AKUTANA NA TIMU YA KUCHUNGUZA MAUAJI YA ASKARI NCHINI DRC, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : DKT. MAHIGA AKUTANA NA TIMU YA KUCHUNGUZA MAUAJI YA ASKARI NCHINI DRC
link : DKT. MAHIGA AKUTANA NA TIMU YA KUCHUNGUZA MAUAJI YA ASKARI NCHINI DRC

soma pia


DKT. MAHIGA AKUTANA NA TIMU YA KUCHUNGUZA MAUAJI YA ASKARI NCHINI DRC

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dkt. Augustine Mahiga (kulia) akiwa katika mazungumzo na Bw. Domitry Titov, Kiongozi wa Timu ya Umoja wa Mataifa inayochunguza mauaji ya askari wa kulinda amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). 
Baadhi ya wajumbe wa Kamati ya Umoja wa Mataifa ya kuchunguza mauaji ya askari wa kulinda amani nchini DRC wakifuatilia mazungumzo. 
Ujumbe wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki ukifuatilia mazungumzo hayo. Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Celestine Mushy na Msemaji wa Wizara na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano, Bi. Mindi Kasiga. 
Maafisa wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakinukuu mambo muhimu ya mazungumzo. 
Wajumbe wa pande mbili wakiwa katika mazungumzo. 
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dkt. Augustine Mahiga mstari wa mbele katikati akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Kamati ya Umoja wa Mataifa ya kuchunguza mauaji ya askari wa kulinda amani nchini DRC na maafisa wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki. 

KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA


Hivyo makala DKT. MAHIGA AKUTANA NA TIMU YA KUCHUNGUZA MAUAJI YA ASKARI NCHINI DRC

yaani makala yote DKT. MAHIGA AKUTANA NA TIMU YA KUCHUNGUZA MAUAJI YA ASKARI NCHINI DRC Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala DKT. MAHIGA AKUTANA NA TIMU YA KUCHUNGUZA MAUAJI YA ASKARI NCHINI DRC mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/01/dkt-mahiga-akutana-na-timu-ya.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "DKT. MAHIGA AKUTANA NA TIMU YA KUCHUNGUZA MAUAJI YA ASKARI NCHINI DRC"

Post a Comment

Loading...