Loading...

JKCI YAWAAHIDI WATANZANIA KUENDELEA KUTOA HUDUMA BORA

Loading...
JKCI YAWAAHIDI WATANZANIA KUENDELEA KUTOA HUDUMA BORA - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa JKCI YAWAAHIDI WATANZANIA KUENDELEA KUTOA HUDUMA BORA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : JKCI YAWAAHIDI WATANZANIA KUENDELEA KUTOA HUDUMA BORA
link : JKCI YAWAAHIDI WATANZANIA KUENDELEA KUTOA HUDUMA BORA

soma pia


JKCI YAWAAHIDI WATANZANIA KUENDELEA KUTOA HUDUMA BORA

Na Mwandishi Wetu, 
09/1/2018 Uongozi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) umewaahidi watanzania kuendelea kutoa huduma bora za matibabu kwa kiwango cha kimataifa  kwa wagonjwa wanaosumbuliwa na magonjwa ya moyo wanaotibiwa katika Taasisi hiyo. 
Ahadi hiyo imetolewa hivi karibuni na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo Prof. Mohamed Janabi wakati akiongea na wakurugenzi wa Idara na vitengo vinavyojitegemea katika kikao cha kwanza cha Menejimenti  kwa mwaka 2018.
Prof. Janabi ambaye  pia ni Mwenyekiti wa kikao hicho alizitaja ahadi zingine ni pamoja na kuendeea kupunguza kupeleka wagonja nje ya nchi, kupunguza gharama za tiba, kuongeza idadi ya huduma, kuboresha usafi katika Hospitali na kuendelea  kushirikiana na wananchi.

Mwenyekiti huyo alisema kwa mwaka 2018 wamejipanga  kutoa huduma kwa wagonjwa wengi zaidi ukilinganisha na mwaka jana ambapo jumla ya wagonjwa 64,093 walitibiwa katika Taasisi hiyo kati ya hao wagonjwa wa nje walikuwa 60796  na waliolazwa 3297.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akiongea na wakurugenzi wa Idara na vitengo vinavyojitegemea kuhusu mikakati ya utendaji kazi kwa mwaka 2018 moja ya mkakati huo ukiwa ni kuendelea kutoa huduma bora za matibabu kwa kiwango cha kimataifa  katika kikao cha kwanza cha Menejimenti  kilichofanyika hivi karibuni. Kulia ni Mwanasheria wa Taasisi hiyo Maulid Kikondo. 
 Wakurugenzi wa Idara na vitengo vinavyojitegemea vya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo Prof. Mohamed Janabi (hayupo pichani) alielezea kazi zilizofanyika katika Taasisi hiyo kwa mwaka 2017  katika kikao cha kwanza cha Menejimenti  kilichofanyika hivi karibuni. Jumla ya wagonjwa  1025  walifanyiwa upasuaji wa kufungua kifua na bila kufungua kwa mwaka 2017 na hivyo Taasisi kuokoa  zaidi ya bilioni 29 ambazo Serikali ingezilipa kama wagonjwa hawa wangefanyiwa upasuaji wa moyo nje ya nchi.
 Kikao cha kwanza cha Manejimenti  cha Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa mwaka  2018 kikiendelea.
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Magonjwa ya Moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Peter Kisenge akisoma  taarifa za utendaji kazi wa idara yake kwa kipindi cha miezi mitatu katika kikao cha kwanza cha Menejimenti kwa mwaka 2018 kilichofanyika hivi karibuni. Picha na JKCI

KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA


Hivyo makala JKCI YAWAAHIDI WATANZANIA KUENDELEA KUTOA HUDUMA BORA

yaani makala yote JKCI YAWAAHIDI WATANZANIA KUENDELEA KUTOA HUDUMA BORA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala JKCI YAWAAHIDI WATANZANIA KUENDELEA KUTOA HUDUMA BORA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/01/jkci-yawaahidi-watanzania-kuendelea.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "JKCI YAWAAHIDI WATANZANIA KUENDELEA KUTOA HUDUMA BORA"

Post a Comment

Loading...