Loading...
title : Waziri wa Kilimo Dkt.Tizeba atembelea Taasis ya Naliendele.
link : Waziri wa Kilimo Dkt.Tizeba atembelea Taasis ya Naliendele.
Waziri wa Kilimo Dkt.Tizeba atembelea Taasis ya Naliendele.
Kaim Mkurugenzi wa Taasisi yaUtafiti wa Kilimo NALIENDELE Iliyopo Mkoani Mtwara Dkt Omar Mponda akitoa maelezo kwa Waziri wa Kilimo Dkt.Charles Tizeba kuhusiana na Mbegu za Muhogo ambazo zinazalishwa na Taasisi ya Hiyo.
Jumla ya miche ya Mikorosho Million10 imezalishwa na Taasisi ya utafiti wa Kilimo NALIENDELE Iliyopo mkoani Mtwara kwa kushirikiana na Bodi ya Korosho Tanzania CBT kwa ajili ya kusambaza katika mikoa yote inayozalisha Zao la korosho.
Waziri wa Kilimo Dr.Charles Tizeba akimsikiliza Mkuu wa Idara ya Udhibiti wa wadudu na Magonjwa wa Zao la Korosho Taasisi ya NALIENDELE Dr.Wilson Nene aliyevalia Tishet Nyeupe wakati waziri wa Kilimo Dr.Tizeba alipofanya Ziara katika Taasis Hiyo.
Waziri wa Kilimo Dkt Charles Tizeba akioneshwa Shamba la Mfano la Karanga lililopo Taasisi ya Utafiti ya Kilimo NALIENDELE Iliyopo Mkoani Mtwara.
Waziri wa Kilimo Dr.Charles Tizeba akimsikiliza Mkuu wa Idara ya Udhibiti wa wadudu na Magonjwa wa Zao la Korosho Taasisi ya NALIENDELE Dr.Wilson Nene aliyevalia Tishet Nyeupe wakati waziri wa Kilimo Dr.Tizeba alipofanya Ziara katika Taasis Hiyo.
Hivyo makala Waziri wa Kilimo Dkt.Tizeba atembelea Taasis ya Naliendele.
yaani makala yote Waziri wa Kilimo Dkt.Tizeba atembelea Taasis ya Naliendele. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala Waziri wa Kilimo Dkt.Tizeba atembelea Taasis ya Naliendele. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/01/waziri-wa-kilimo-dkttizeba-atembelea.html
0 Response to "Waziri wa Kilimo Dkt.Tizeba atembelea Taasis ya Naliendele."
Post a Comment