Loading...

daraja la kilombero mkoani morogoro lakamilika

Loading...
daraja la kilombero mkoani morogoro lakamilika - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa daraja la kilombero mkoani morogoro lakamilika, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : daraja la kilombero mkoani morogoro lakamilika
link : daraja la kilombero mkoani morogoro lakamilika

soma pia


daraja la kilombero mkoani morogoro lakamilika

Ujenzi wa Daraja la Mto Kilombero uliopangwa kukamilika mwezi Februari 2017, sasa umekamilika kwa 100% na liko tayari kuzinduliwa.  Daraja hilo linalounganisha wilaya mbili za mkoa wa Morogoro (Ulanga na Kilombero) pamoja na Mkoa wa Ruvuma, litaokoa maisha ya wananchi wa wilaya hizo ambao katika kipindi chote cha mwaka walikuwa wakipata shida kuvuka mto huo huku shughuli za usafirishaji wa mazao ya mpunga, ufuta, mahindi, ufugaji na madini zitarahisishwa,  kuongeza pato na kukuza uchumi wa Taifa.Pia kukamilika kwa daraja la Mto Kilombero kutarahisisha usafiri kutoka Dar kwenda Songea – Ruvuma ambapo ni mbali mfupi sana kwa kupitia Mikumi-Ifakara-Mahenge mpaka Songea kuliko kupitia Iringa-Njombe mpaka Songea.


Hivyo makala daraja la kilombero mkoani morogoro lakamilika

yaani makala yote daraja la kilombero mkoani morogoro lakamilika Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala daraja la kilombero mkoani morogoro lakamilika mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/02/daraja-la-kilombero-mkoani-morogoro.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "daraja la kilombero mkoani morogoro lakamilika"

Post a Comment

Loading...