Loading...

RAIS DKT SHEIN AFANYA MABADILIKO MADOGO BARAZA LA MAPINDUZI

Loading...
RAIS DKT SHEIN AFANYA MABADILIKO MADOGO BARAZA LA MAPINDUZI - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa RAIS DKT SHEIN AFANYA MABADILIKO MADOGO BARAZA LA MAPINDUZI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : RAIS DKT SHEIN AFANYA MABADILIKO MADOGO BARAZA LA MAPINDUZI
link : RAIS DKT SHEIN AFANYA MABADILIKO MADOGO BARAZA LA MAPINDUZI

soma pia


RAIS DKT SHEIN AFANYA MABADILIKO MADOGO BARAZA LA MAPINDUZI

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Dkt. Ali Mohamed Shein amefanya mabadiliko madogo katika Baraza la Mapinduzi kwa kuongeza Wizara moja zaidi, na kuwabadilisha Wizara baadhi ya Mawaziri.

Kufuatia mabadiliko hayo, shughuli za Vijana zimehamishiwa katika Wizara mpya ya Vijana, Utamaduni, Sanaa na Michezo; shughli za Mazingira zimehamishiwa katika Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais;na shughli za Wakala wa Serikali wa Uchapaji zimehamishiwa Wizara mpya ya Habari, Utalii na Mambo ya Kale.

Aidha, amewateua Naibu Mawaziri wapya wawili na kumbadilisha Wizara Naibu Waziri mmoja. Kufuatia mabadiliko hayo, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar hivi sasa itakuwa na Wizara 14 zenye Mawaziri na Naibu Mawaziri kama ifuatavyo:

1.    OFISI YA RAIS NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI

i.    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi- Mheshimiwa Issa Haji Ussi Gavu

2.    OFISI YA RAIS, KATIBA SHERIA, UTUMISHI WA UMMA NAUTAWALA BORA

i.    Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais - Katiba, Sheria, Utumishi wa Umma na Utawala Bora – Mheshimiwa Haroun Ali Suleiman

ii.    Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Katiba, Sheria, Utumishi wa Umma na Utawala Bora – Mheshimiwa Khamis Juma Mwalim

3.    OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA SERIKALI ZA MITAA NA IDARA MAALUM ZA SMZ

i.    Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ – Mheshimiwa Haji Omar Kheri

ii.    Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ – Mheshimiwa Shamata Shaame Khamis


KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA


Hivyo makala RAIS DKT SHEIN AFANYA MABADILIKO MADOGO BARAZA LA MAPINDUZI

yaani makala yote RAIS DKT SHEIN AFANYA MABADILIKO MADOGO BARAZA LA MAPINDUZI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala RAIS DKT SHEIN AFANYA MABADILIKO MADOGO BARAZA LA MAPINDUZI mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/02/rais-dkt-shein-afanya-mabadiliko-madogo.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "RAIS DKT SHEIN AFANYA MABADILIKO MADOGO BARAZA LA MAPINDUZI"

Post a Comment

Loading...