Loading...
title : SIMBA YAANZA KUJIFUA UWANJA WA VETERANI
link : SIMBA YAANZA KUJIFUA UWANJA WA VETERANI
SIMBA YAANZA KUJIFUA UWANJA WA VETERANI
Na Agness Francis Globu ya jamii.
VINARA wa Ligi kuu Tanzania Bara Simba SC mara baada ya kurejea kutoka nchini Djibout katika mchezo wa marudiano na Gendarmarie sasa wanaanza mazoezi rasmi leo ili kujiandaa na mchezo wao dhidi ya Mbao FC. Mazoezi hayo yataanza leo jioni saa 10 jioni katika uwanja wa Boko Veterani jijini Dar es Salaam.
Ikiwa ni mzunguko wa 2 round ya 19 katika michuano ya kuania Ubingwa wa Tanzania Bara ambapo mchezo uliopita Simba alitoka sare ya 2-2 dhidi ya Mwadui FC katika Uwanja wa Kambarage mkoani Shinyanga.
Hata hivyo Kikosi hicho kilipewa muda wa mapumziko ya siku moja baada ya kurejea kutoka nchini Djibout katika mchezo wa marudiano dhidi ya Gendarmerie ambapo kikosi cha Simba kiliibuka na Ushindi wa goli 1-0 na kujiandikishia tiketi ya kwenda hatua ya mbele zaidi katika Michuano ya kombe la Shirikisho Barani Afrika.
Hivyo makala SIMBA YAANZA KUJIFUA UWANJA WA VETERANI
yaani makala yote SIMBA YAANZA KUJIFUA UWANJA WA VETERANI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala SIMBA YAANZA KUJIFUA UWANJA WA VETERANI mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/02/simba-yaanza-kujifua-uwanja-wa-veterani.html
0 Response to "SIMBA YAANZA KUJIFUA UWANJA WA VETERANI"
Post a Comment