Loading...

JAFO AWAKOMALIA AKINA MAKONDA

Loading...
JAFO AWAKOMALIA AKINA MAKONDA - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa JAFO AWAKOMALIA AKINA MAKONDA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : JAFO AWAKOMALIA AKINA MAKONDA
link : JAFO AWAKOMALIA AKINA MAKONDA

soma pia


JAFO AWAKOMALIA AKINA MAKONDA


Wakuu wa Mikoa watakiwa Kubuni Mikakati ya Kuondoa Ombaomba
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tamisemi, Selemani Jafo amewataka Wakuu wa Mikoa nchini kubuni mikakati ya kuondoa tatizo la ombaomba mijini.


Mh. Jafo amesema hayo alipokuwa akizindua Mpango wa Utalii wa Jiji la Dar es salaam ambao umelenga kuvutia watalii mbalimbali kwa kutumia fursa zilizopo ndani ya jiji hilo.

Katika uzinduzi huo, Jafo amesema ombaomba hao wamekuwa wakikaa barabarani hali ambayo haileti sura nzuri kwa nchi na kwa wageni mbalimbali wanaokuja kutalii nchini.

Aidha, amebainisha kuwa, changamoto ya watoto wa mitaani na tatizo kubwa la ombaomba ni vyema wakuu hao wakabuni mbinu mbalimbali zikiwemo za kuwawekea maeneo maalum ya kujihusisha na shughuli za ufugaji na kilimo cha bustani ili kuwaondoa mitaani.


Hivyo makala JAFO AWAKOMALIA AKINA MAKONDA

yaani makala yote JAFO AWAKOMALIA AKINA MAKONDA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala JAFO AWAKOMALIA AKINA MAKONDA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/03/jafo-awakomalia-akina-makonda.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "JAFO AWAKOMALIA AKINA MAKONDA"

Post a Comment

Loading...