Loading...

JWTZ – KUJENGA VIWANDA KATIKA KAMBI ZA JKT

Loading...
JWTZ – KUJENGA VIWANDA KATIKA KAMBI ZA JKT - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa JWTZ – KUJENGA VIWANDA KATIKA KAMBI ZA JKT, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : JWTZ – KUJENGA VIWANDA KATIKA KAMBI ZA JKT
link : JWTZ – KUJENGA VIWANDA KATIKA KAMBI ZA JKT

soma pia


JWTZ – KUJENGA VIWANDA KATIKA KAMBI ZA JKT

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania Jenerali Venance Salvatory Mabeyo akimuelekeza kitu mkuu wa mkoa wa Ruvuma Bi Christina Mndeme ambaye ameshika punje za mahindi kiganjani kwake, alipotembelea kiwanda cha kisasa cha kuchakata mahindi cha kikosi cha JKT Mlale Songea Mkoani Ruvuma. “ Tunakikosi cha JKT Mbalali kilichopo Mbeya kinalima zao la kahawa na niwazalishaji wazuri wa zao hilo napotutajenga kiwanda cha kuchakata kahawa ili tuwe na Kahawa Product ya JESHI LA WANANCHI WA TANZANIA ,Tunasambaza viwanda hivi kwa faida ya wananchi wa Tanzania, kwa maendeleo yao ,kwa maendeleo yetu wote, tunaimani tumeanza kuthubutu,tunaimani tutaweza ”


Hivyo makala JWTZ – KUJENGA VIWANDA KATIKA KAMBI ZA JKT

yaani makala yote JWTZ – KUJENGA VIWANDA KATIKA KAMBI ZA JKT Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala JWTZ – KUJENGA VIWANDA KATIKA KAMBI ZA JKT mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/03/jwtz-kujenga-viwanda-katika-kambi-za-jkt_19.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "JWTZ – KUJENGA VIWANDA KATIKA KAMBI ZA JKT"

Post a Comment

Loading...