Loading...

KESI YA ALIYEKUWA MHASIBU WA TAKUKURU KUANZA KUSIKILIZWA APRILI 10

Loading...
KESI YA ALIYEKUWA MHASIBU WA TAKUKURU KUANZA KUSIKILIZWA APRILI 10 - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa KESI YA ALIYEKUWA MHASIBU WA TAKUKURU KUANZA KUSIKILIZWA APRILI 10, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : KESI YA ALIYEKUWA MHASIBU WA TAKUKURU KUANZA KUSIKILIZWA APRILI 10
link : KESI YA ALIYEKUWA MHASIBU WA TAKUKURU KUANZA KUSIKILIZWA APRILI 10

soma pia


KESI YA ALIYEKUWA MHASIBU WA TAKUKURU KUANZA KUSIKILIZWA APRILI 10

Na Karama Kenyunko, Globu ya jamii

Kesi dhidi ya Mhasibu  Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Godfrey Gugai anayedaiwa kuwa na  utajiri wa kutisha kwa kumiliki mali zenye thamani ya Sh. 3 bilioni ambazo haziendani na kipato chake kuanza kusikilizwa mapema mwezi ujao.

Hayo yameelezwa leo Machi 20, 2018 na wakili wa serikali kutoka Takukuru, Vitalis Peter mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba. 

"Mheshimiwa kesi hii leo ilikuja kwa ajili ya kutajwa lakini upelelezi umekamilika, tunaomba tarehe nyingine kwa ajili ya kuja kuwasomea washtakiwa maelezo ya awali (PH).

Kufuatia taarifa hiyo, hakimu Simba ameahirisha kesi hiyo hadi Aprili 10, mwaka huu. Kwa ajili ya washtakiwa kusomewa Maelezo ya awali.

Mbali na Gugai, washtakiwa wengine katika kesi hiyo ni George Makaranga, Leonard Aloys na Yasini Katera

Washtakiwa hao wanaokabiliwa na mashtaka 43 yakiwemo 20 ya utakatishaji fedha haramu, kumiliki mali zisizoendana na kipato na kughushi mikataba ya mauziano ya viwanja katika maeneo mbalimbali.

Gugai na wenzake wanasota mahabusu kutokana na kukabiliwa na mashtaka ya utakatishaji fedha ambayo hayana dhamana kwa mujibu wa sheria.



Hivyo makala KESI YA ALIYEKUWA MHASIBU WA TAKUKURU KUANZA KUSIKILIZWA APRILI 10

yaani makala yote KESI YA ALIYEKUWA MHASIBU WA TAKUKURU KUANZA KUSIKILIZWA APRILI 10 Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala KESI YA ALIYEKUWA MHASIBU WA TAKUKURU KUANZA KUSIKILIZWA APRILI 10 mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/03/kesi-ya-aliyekuwa-mhasibu-wa-takukuru.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "KESI YA ALIYEKUWA MHASIBU WA TAKUKURU KUANZA KUSIKILIZWA APRILI 10"

Post a Comment

Loading...