Loading...

MAONESHO YA WAVUMBUZI, WABUNIFU KUANZA APRILI 27 DAR

Loading...
MAONESHO YA WAVUMBUZI, WABUNIFU KUANZA APRILI 27 DAR - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MAONESHO YA WAVUMBUZI, WABUNIFU KUANZA APRILI 27 DAR, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MAONESHO YA WAVUMBUZI, WABUNIFU KUANZA APRILI 27 DAR
link : MAONESHO YA WAVUMBUZI, WABUNIFU KUANZA APRILI 27 DAR

soma pia


MAONESHO YA WAVUMBUZI, WABUNIFU KUANZA APRILI 27 DAR

Ofisa Habari wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Edward Nkomola akizungumza na waandishi habari kuhusiana na maonesho ya wabunifu na wavumbuzi  yatayofanyika Aprili 27 hadi 29, leo  jijini Dar es Salaam.
Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Maonesho ya Wabunifu na Wavumbuzi, Edward Magoti(Wapili kulia) akizungumza na waandishi habari kuhusiana na maonesho hayo, leo jijini Dar es Salaam.


Na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii
KAMATI ya Maonesho ya Wavumbuzi na Wabunifu Tanzania(TICE) kwa kushirikiana na Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji  wameandaa maonesho ya yayanayotarajia kufanyika kuanzia Aprili 27 hadi 29 mwaka huu katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.

Akizungumza leo Dar es Salaam, Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Edward Magoti amesema maonesho hayo yatahusisha Wavumbuzi na wabunifu na yatakuwa ya aina yake katika ujenzi wa sekta ya viwanda nchini.

Magoti amesema maonesho hayo ni fursa ya wabunifu na wavumbuzi katika nyanja ya kutengeneza mtandao , kujitangaza katika mtandao wa kufanya ubunifu na uvumbuzi pamoja kuendeleza kazi na uzoefu na watu wengine katika sekta hiyo.

Amesema wakati wa maonesho hayo wavumbuzi na wabunifu wa nchini Tanzania watapa fursa ya kukutana na mabalozi wa nchi mbalimbali ,wafanyabiashara wakubwa na kati taasisi za Serikali , Taasisi za fedha na viongozi.

Aidha amesema washiriki watatu kwenye maonesho hayo watapata zawadi ya milioni  Sh.35 kwa mshindi wa kwanza na mshindi mshidni wa tatu Sh.milioni 5.

Kwa upande wa Ofisa wa Habari wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Edward Nkomola amesema maonesho hayo yatakutanisha watoa huduma wote ambapo ni fursa kwa wabunifu na wavumbuzi kukutana na watoa huduma hao.



Hivyo makala MAONESHO YA WAVUMBUZI, WABUNIFU KUANZA APRILI 27 DAR

yaani makala yote MAONESHO YA WAVUMBUZI, WABUNIFU KUANZA APRILI 27 DAR Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MAONESHO YA WAVUMBUZI, WABUNIFU KUANZA APRILI 27 DAR mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/03/maonesho-ya-wavumbuzi-wabunifu-kuanza.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MAONESHO YA WAVUMBUZI, WABUNIFU KUANZA APRILI 27 DAR"

Post a Comment

Loading...