Loading...

MEYA JIJI LA DAR AZIKUMBUSHA HALMASHAURI KUAJIRI WATUMISHI WA KUZIKA WASIOKUWA NA NDUGU

Loading...
MEYA JIJI LA DAR AZIKUMBUSHA HALMASHAURI KUAJIRI WATUMISHI WA KUZIKA WASIOKUWA NA NDUGU - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MEYA JIJI LA DAR AZIKUMBUSHA HALMASHAURI KUAJIRI WATUMISHI WA KUZIKA WASIOKUWA NA NDUGU, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MEYA JIJI LA DAR AZIKUMBUSHA HALMASHAURI KUAJIRI WATUMISHI WA KUZIKA WASIOKUWA NA NDUGU
link : MEYA JIJI LA DAR AZIKUMBUSHA HALMASHAURI KUAJIRI WATUMISHI WA KUZIKA WASIOKUWA NA NDUGU

soma pia


MEYA JIJI LA DAR AZIKUMBUSHA HALMASHAURI KUAJIRI WATUMISHI WA KUZIKA WASIOKUWA NA NDUGU

Na Said Mwishehe,Globu ya jamii

MEYA wa Jiji la Dar es Salaam Isaya Mwita amezitaka halmashauri zote katika jiji hilp kuajiri watumishi ambao watakuwa wanazika miili ya watu ambao watabainika kutokuwa na ndugu wa kuwazika.

Ametoa kauli hiyo leo kwenye Kikao cha Baraza la Madiwani wa Jiji la Dar es Salaam ,ambapo amewaambia madiwani hao kuna taarifa amezipata za halmashauri kutokuajiri watumishi kwa akili ya kuzika watu wasiokuwa na ndugu.

Mwita amesema kuwa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam pamoja na halmashauri nyingine zilizopo jijini humo walikubaliana kuzika watu wasiokuwa na ndugu Dar."Hivyo marehemu wanapokuwa wamekaa muda mrefu wanalazimika kuzika na Jijijiji,na tulikubali kuchangia usafiri,dawa na sanda," amesema.

Amefafanua kuwa watu hao wasiokuwa na ndugu wanapokufa wapo ambao wanakaa hospitalini zaidi ya siku 20,hivyo wapo ambao wanazika kwenye halmashauri mbalimbali.Hivyo wakati Jiji la Dar es Salaam likitimiza wajibu katika kupumzisha mwili wa marehemu,halmashauro jukumu lao ni kutoa watumishi kwa ajili ya kuzika.

Amefafanua taarifa alizonazo ni Halmashauri ya Kinondoni pekee ndio ambayo imeajiri watumishi kwa ajili ua kuzika miili ya watu ambao wamefariko na hawana ndugu.Hivyo amezikumbusha halmashauri zote kuajiri watumishi hao ili kufanikisha kupumzisha miili hiyo.

"Ni wajibu wa halmashauri kuhakikisha wanafanikisha kupatikana kwa watumishi hao haraka," amesema Meya Mwita.


Hivyo makala MEYA JIJI LA DAR AZIKUMBUSHA HALMASHAURI KUAJIRI WATUMISHI WA KUZIKA WASIOKUWA NA NDUGU

yaani makala yote MEYA JIJI LA DAR AZIKUMBUSHA HALMASHAURI KUAJIRI WATUMISHI WA KUZIKA WASIOKUWA NA NDUGU Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MEYA JIJI LA DAR AZIKUMBUSHA HALMASHAURI KUAJIRI WATUMISHI WA KUZIKA WASIOKUWA NA NDUGU mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/03/meya-jiji-la-dar-azikumbusha.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MEYA JIJI LA DAR AZIKUMBUSHA HALMASHAURI KUAJIRI WATUMISHI WA KUZIKA WASIOKUWA NA NDUGU"

Post a Comment

Loading...