Loading...

NURU YA AFYA

Loading...
NURU YA AFYA - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa NURU YA AFYA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : NURU YA AFYA
link : NURU YA AFYA

soma pia


NURU YA AFYA

Ungana pamoja nasi katika usiku wa kipekee tukila, kunywa na kuburudika katika 2018 Nuru Ya Afya Fundraising Masquerade Ball inayoletwa kwenu na TAHMEF (Tanzania Health and Medical Education Foundation)

Ili kuunga juhudi za kuboresha afya ya uzazi na upatikanaji wa huduma za bima ya afya kwa watanzania.

MGENI RASMI: Naibu Waziri wa Afya, maendeleo ya jamii,Jinsia,wazee na Watoto, Mheshimiwa DK. FAUSTINE NDUGULILE

Usisite kuwasiliana nasi kujipatia tiketi na maelezo zaidi kupitia:

Simu: +255 656 597 434, +255 768 326 387

Tovuti: www.tahmef.or.tz

#NuruYaAfya #600lives 


Hivyo makala NURU YA AFYA

yaani makala yote NURU YA AFYA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala NURU YA AFYA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/03/nuru-ya-afya.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "NURU YA AFYA"

Post a Comment

Loading...