Loading...

Rais Dkt Magufuli Azindua Magari 181 Ya Bohari kuu Ya Madawa (MSD) Jijini Dar es salaam Leo

Loading...
Rais Dkt Magufuli Azindua Magari 181 Ya Bohari kuu Ya Madawa (MSD) Jijini Dar es salaam Leo - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Rais Dkt Magufuli Azindua Magari 181 Ya Bohari kuu Ya Madawa (MSD) Jijini Dar es salaam Leo, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Rais Dkt Magufuli Azindua Magari 181 Ya Bohari kuu Ya Madawa (MSD) Jijini Dar es salaam Leo
link : Rais Dkt Magufuli Azindua Magari 181 Ya Bohari kuu Ya Madawa (MSD) Jijini Dar es salaam Leo

soma pia


Rais Dkt Magufuli Azindua Magari 181 Ya Bohari kuu Ya Madawa (MSD) Jijini Dar es salaam Leo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akikagua ghala ya dawa   

kwenye hafla ya uzinduzi wa magari 181 ya Bohari kuu ya Madawa (MSD) jijini Dar es salaam leo Machi 26, 2018.
Pamoja naye ni Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu, Mwakilishi wa Taasisi ya
Global Fund Bw. Linden Morrison na viongozi wengine.
Sehemu ya  magari 181 ya Bohari kuu ya Madawa (MSD) yaliyozinduliwa  jijini Dar es salaam leo Machi 26, 2018. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akimshukuru  Mwakilishi wa Taasisi ya
Global Fund Bw. Linden Morrison wakati akijaribu moja ya magari  181 ya Bohari kuu ya Madawa (MSD) aliyozindua jijini 
Dar es salaam leo Machi 26, 2018.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akikagua sehemu ya magari  181 ya 
Bohari kuu ya Madawa (MSD)  aliyozindua jijini Dar es salaam leo Machi 26, 2018.Pamoja naye ni Waziri wa Afya, Maendeleo ya 
Jamii, Jinsia na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu, Mwakilishi wa Taasisi ya Global 
Fund Bw. Linden Morrison na viongozi wengine.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akihutubia kwenye hafla ya uzinduzi wa magari 181 ya Bohari kuu ya Madawa (MSD) jijini Dar es salaam leo Machi 26, 2018.
Sehemu ya wafanyakazi wa MSD wakimshangilia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli  wakati akihutubia kwenye hafla ya uzinduzi wa magari 181 ya Bohari kuu ya Madawa (MSD) jijini Dar es salaam leo Machi 26, 2018.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akikata utepe kwenye hafla ya uzinduzi wa magari 181 ya Bohari kuu ya Madawa (MSD) jijini Dar es salaam leo Machi 26, 2018.Pamoja naye ni Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu, Mwakilishi wa Taasisi ya Global Fund Bw. Linden Morrison na viongozi wengine.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akiwa na Mwakilishi wa Taasisi ya Global Fund Bw. Linden Morrison akijaribu moja ya magari  181 ya Bohari kuu ya Madawa (MSD) aliyozindua jijini Dar es salaam leo Machi 26, 2018.
PALE WAPIGA PICHA WANAPOPIGWA PICHA – Wapiga picha wa vyombo mbalimbali vya habari wakipiga picha msafara wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akiwa na Mwakilishi wa Taasisi ya Global Fund Bw. Linden Morrison  (chini kushoto) na viongozi wengine wakati wakielekea kukagua  magari  181 ya Bohari kuu ya Madawa (MSD) aliyozindua jijini 
Dar es salaam leo Machi 26, 2018.
Picha  na IKULU


Hivyo makala Rais Dkt Magufuli Azindua Magari 181 Ya Bohari kuu Ya Madawa (MSD) Jijini Dar es salaam Leo

yaani makala yote Rais Dkt Magufuli Azindua Magari 181 Ya Bohari kuu Ya Madawa (MSD) Jijini Dar es salaam Leo Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Rais Dkt Magufuli Azindua Magari 181 Ya Bohari kuu Ya Madawa (MSD) Jijini Dar es salaam Leo mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/03/rais-dkt-magufuli-azindua-magari-181-ya.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Rais Dkt Magufuli Azindua Magari 181 Ya Bohari kuu Ya Madawa (MSD) Jijini Dar es salaam Leo"

Post a Comment

Loading...