Loading...

SIMBA NA STAND KUCHEZA UWANJA WA TAIFA KESHO, DROO KOMBE LA SHIRIKISHO LA AZAM KUFANYIKA KESHO

Loading...
SIMBA NA STAND KUCHEZA UWANJA WA TAIFA KESHO, DROO KOMBE LA SHIRIKISHO LA AZAM KUFANYIKA KESHO - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa SIMBA NA STAND KUCHEZA UWANJA WA TAIFA KESHO, DROO KOMBE LA SHIRIKISHO LA AZAM KUFANYIKA KESHO, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : SIMBA NA STAND KUCHEZA UWANJA WA TAIFA KESHO, DROO KOMBE LA SHIRIKISHO LA AZAM KUFANYIKA KESHO
link : SIMBA NA STAND KUCHEZA UWANJA WA TAIFA KESHO, DROO KOMBE LA SHIRIKISHO LA AZAM KUFANYIKA KESHO

soma pia


SIMBA NA STAND KUCHEZA UWANJA WA TAIFA KESHO, DROO KOMBE LA SHIRIKISHO LA AZAM KUFANYIKA KESHO

Ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara mzunguko wa 19 inaendelea kesho kwa mchezo mmoja utakaowakutanisha Simba ya Dar es Salaam dhidi ya Stand United ya Shinyanga Mchezo huo utakaochezwa saa 10 jioni utafanyika kwenye Uwanja wa Taifa. Mwamuzi wa katikati Florentina Zabron kutokea Dodoma ,Mwamuzi msaidizi namba moja Ferdinand Chacha wa Mwanza,mwamuzi msaidizi namba mbili Mashaka Mandemwa kutoka Mwanza,mwamuzi wa akiba Gelmina Simon wa Dar es Salaam na kamishna wa mechi anatoka Arusha,Peter Temu.
Wakati huo huo, droo ya Kombe la Shirikisho la Azam inafanyika kesho Ijumaa Machi 2, 2018 saa 5 asubuhi Makao Makuu ya Azam Tv wadhamini wa mashindano hayo. Droo hiyo itahusisha timu nane(8) zilizofanikiwa kufuzu hatua hiyo ya Nane bora. Timu zilizofanikiwa kuingia hatua hiyo ni Young Africans na Azam FC za Dar es Salaam,Singida United ya Singida,Njombe Mji ya Njombe,Mtibwa Sugar ya Morogoro,Tanzania Prisons ya Mbeya,Stand United ya Shinyanga na JKT Tanzania ya Dar es Salaam.


Hivyo makala SIMBA NA STAND KUCHEZA UWANJA WA TAIFA KESHO, DROO KOMBE LA SHIRIKISHO LA AZAM KUFANYIKA KESHO

yaani makala yote SIMBA NA STAND KUCHEZA UWANJA WA TAIFA KESHO, DROO KOMBE LA SHIRIKISHO LA AZAM KUFANYIKA KESHO Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala SIMBA NA STAND KUCHEZA UWANJA WA TAIFA KESHO, DROO KOMBE LA SHIRIKISHO LA AZAM KUFANYIKA KESHO mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/03/simba-na-stand-kucheza-uwanja-wa-taifa.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "SIMBA NA STAND KUCHEZA UWANJA WA TAIFA KESHO, DROO KOMBE LA SHIRIKISHO LA AZAM KUFANYIKA KESHO"

Post a Comment

Loading...