Loading...

BALOZI KAIRUKI, AZUNGUMZIA MKUTANO JUKWAA LA BIASHARA KATI YA TANZANIA NA CHINA

Loading...
BALOZI KAIRUKI, AZUNGUMZIA MKUTANO JUKWAA LA BIASHARA KATI YA TANZANIA NA CHINA - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa BALOZI KAIRUKI, AZUNGUMZIA MKUTANO JUKWAA LA BIASHARA KATI YA TANZANIA NA CHINA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : BALOZI KAIRUKI, AZUNGUMZIA MKUTANO JUKWAA LA BIASHARA KATI YA TANZANIA NA CHINA
link : BALOZI KAIRUKI, AZUNGUMZIA MKUTANO JUKWAA LA BIASHARA KATI YA TANZANIA NA CHINA

soma pia


BALOZI KAIRUKI, AZUNGUMZIA MKUTANO JUKWAA LA BIASHARA KATI YA TANZANIA NA CHINA

Na Ripota Wetu,Globu ya jamii
MKUTANO wa  Jukwaa la Biashara kati ya Tanzania na China unatarajia kuanza kufanyika Beijing nchini China.

Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari leo na Remidius Emmanuel kutoka Beijing,China amesema  kesho Aprili mwaka huu saa saba mchana (saa za China ) kutakuwa na mkutano huo.

Lengo mahususi la mkutano ni  kuvutia uwekezaji katika sekta ya viwanda  na hasa kwenye viwanda  vya kutengeneza dawa na vifaa tiba. 

Mkutano huu umeandaliwa kwa pamoja kati ya ubalozi wa Tanzania na Taasisi ya maendeleo ya China na Afrika ( China- Africa Development Fund)  ambayo iko chini ya Serikali ya China na ni sehemu ya mwitikio wa maelekezo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Dk.John Magufuli ya kuona tunavutia uwekezaji katika ujenzi wa viwanda vya dawa ili nchi yetu iweze kuzalisha kwa ajili ya soko la ndani.

"Kwa hiyo tumeitisha mkutano huu na kuna mwitikio mkubwa na kuna kampuni kama 20 ambayo yanatengeneza dawa, kampuni kubwa ya hapa China yameitikia mwaliko, yatashiriki kesho ili kuweza kusikiliza fursa ambazo Tanzania  inazo katika uwekezaji.

"Ujumbe wa Tanzania katika mkutano huu, utaongozwa na mganga mkuu wa Serikali Profesa Muhammad Bakari ambaye ataambatana na timu ya viongozi wa sekta ya afya wa Tanzania kutoka taasisi za hospitali ya Taifa ya Muhimbili na taasisi ya Saratani ya Ocean Road, Chuo kikuu cha Afya cha Mhimbili,mwakilishi kutoka taasisi ya MOI (Muhimbili Orthopaedic Institute)

" Vilevile tutakuwepo ubalozi wa Tanzania kwa ajili ya kutoa taarifa mbalimbali kwa wawekezaji hao. Ujumbe huu utakuwepo hapa Beijing kuanzia leo hadi Aprili 12 mwaka 2018,"amesema.

Ameongeza kengo lao  ni ifikapo Mei,2018 waandae ziara ya wawekezaji ambao wataonyesha nia sasa yakuja Tanzania kwa ajili ya fursa hiyo ili wakutane na wadau mbalimbali nyumbani nchini Tanzania.

Baadhi ya wadau  ni taasisi  za uwekezaji TIC,EPZA,ZIPA na wengineo pamoja na taasisi ya MSD.

Amesema mbali na mkutano huo wa jukwaa la biashara, watakuwa na ajenda nyingine mahususi  za kujenga ushirikiano kati ya taasisi zao na taasisi za hapa China, matarajio ni kwamba Jumanne ya Aprili  10 mwaka huo ujumbe huu utakutana na na uongozi wa Hospitali ya Chuo Kikuu cha Peking cha hapa China.
Balozi wa Tanzania nchini China, Mbelwa Kairuki

KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA



Hivyo makala BALOZI KAIRUKI, AZUNGUMZIA MKUTANO JUKWAA LA BIASHARA KATI YA TANZANIA NA CHINA

yaani makala yote BALOZI KAIRUKI, AZUNGUMZIA MKUTANO JUKWAA LA BIASHARA KATI YA TANZANIA NA CHINA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala BALOZI KAIRUKI, AZUNGUMZIA MKUTANO JUKWAA LA BIASHARA KATI YA TANZANIA NA CHINA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/04/balozi-kairuki-azungumzia-mkutano.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "BALOZI KAIRUKI, AZUNGUMZIA MKUTANO JUKWAA LA BIASHARA KATI YA TANZANIA NA CHINA"

Post a Comment

Loading...