Loading...

Mzalishaji mbegu apata Tuzo ya Ujasiriamali ya Citi Foundation

Loading...
Mzalishaji mbegu apata Tuzo ya Ujasiriamali ya Citi Foundation - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Mzalishaji mbegu apata Tuzo ya Ujasiriamali ya Citi Foundation, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Mzalishaji mbegu apata Tuzo ya Ujasiriamali ya Citi Foundation
link : Mzalishaji mbegu apata Tuzo ya Ujasiriamali ya Citi Foundation

soma pia


Mzalishaji mbegu apata Tuzo ya Ujasiriamali ya Citi Foundation


 Mkurugenzi Mtendaji wa CITI Bank, Joseph Carasso (kulia) na Mkurungenzi wa Fedha na Masoko wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Alexander Mwinamila (katikati) kwa pamoja wakikabidhi cheti kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Yetu Microfinance, Attemius Millinga (kushoto) ambapo taasisi yake imekuwa na ubunifu mkubwa wa bidhaa zake sambamba na mifumo ya kutolea huduma na methodolojia wakati wa hafla fupi ya tuzo za ujasiriamali za Citi Foundation zilizofanyika jijini Dar es Salaam.
 Mwanamke aliyefanya vyema kwenye ujasiriamali mdogo, Lucy Kiongosi akipozi baada ya kupokea cheti kilichoambatana na dola za Marekani 2000 wakati wa hafla ya tuzo za ujasiriamali za Citi Foundation zilizofanyika mwishoni wa wiki jijini Dar es Salaam. Katikati ni Mkurungenzi wa Fedha na Masoko wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Alexander Mwinamila na kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa CITI Bank, Joseph Carasso.
 Mshindi wa jumla wa tuzo za Ujasiriamali za Citi Foundation Afisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Beula Seed and Co & Sons, Zabron Mbwaga (kushoto) akiwa kwenye picha ya pamoja na Mwenyekiti wa Bodi ya Tanzania Microfinance Association (TAMFI), Joel Mwakitalu (wa pili kushoto), Mkurungenzi wa Fedha na Masoko wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Alexander Mwinamila (wa pili kulia) na Mkurugenzi Mtendaji wa CITI Bank, Joseph Carasso (kulia).
Mkurugenzi Mtendaji wa CITI Bank, Joseph Carasso (kulia) akikabidhi cheti kwa Ofisa mikopo Rose Chacha (kushoto) wakati wa hafla fupi za tuzo za ujasiriamali za Citi Foundation zilizofanyika jijini Dar es Salaam. Anayeshuhudia tukio hilo ni ni Mkurungenzi wa Fedha na Masoko wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Alexander Mwinamila.
Kwa habari kamili BOFYA HAPA



Hivyo makala Mzalishaji mbegu apata Tuzo ya Ujasiriamali ya Citi Foundation

yaani makala yote Mzalishaji mbegu apata Tuzo ya Ujasiriamali ya Citi Foundation Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Mzalishaji mbegu apata Tuzo ya Ujasiriamali ya Citi Foundation mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/04/mzalishaji-mbegu-apata-tuzo-ya_17.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Mzalishaji mbegu apata Tuzo ya Ujasiriamali ya Citi Foundation"

Post a Comment

Loading...