Loading...
title : WAZIRI MKUU AKUTANA NA RAIS WA KAMPUNI YA STARTIMES BUNGENI MJINI DODOMA
link : WAZIRI MKUU AKUTANA NA RAIS WA KAMPUNI YA STARTIMES BUNGENI MJINI DODOMA
WAZIRI MKUU AKUTANA NA RAIS WA KAMPUNI YA STARTIMES BUNGENI MJINI DODOMA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Rais wa Makampuni ya StarTimes Group, Bw. Pang Xin Xing kabla ya mazungumzo yao, bungeni mjini Dodoma Aprili 3, 2018. Kulia ni Waziri wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe wakiwa kwenye picha ya pamoja na Rais wa Makampuni ya Star Times Group, Pang Xin Xing (watatu kushoto) na ujumbe wake baada ya mazungumzo yao, ofisini kwa Waziri Mkuu, bungeni mjini Dodoma Aprili 3, 2018.Kulia ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Star Media Tanzania Limited,Wang Xiao Bo. Wapili kushoto ni Mkurugenzi wa Uhusiano wa Makampuni ya Star Times Group,Zhang Ye na kushoto ni Meneja Uhusiano wa kampuni ya Star Media Tanzania Limited, Juma Suluhu Sharobaro. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Hivyo makala WAZIRI MKUU AKUTANA NA RAIS WA KAMPUNI YA STARTIMES BUNGENI MJINI DODOMA
yaani makala yote WAZIRI MKUU AKUTANA NA RAIS WA KAMPUNI YA STARTIMES BUNGENI MJINI DODOMA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala WAZIRI MKUU AKUTANA NA RAIS WA KAMPUNI YA STARTIMES BUNGENI MJINI DODOMA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/04/waziri-mkuu-akutana-na-rais-wa-kampuni.html
0 Response to "WAZIRI MKUU AKUTANA NA RAIS WA KAMPUNI YA STARTIMES BUNGENI MJINI DODOMA"
Post a Comment