Loading...

BAADA YA KUTEMBELEA ENEO LINALO TITIA ,MAKONDA ATOA AGIZO KUTOLEWA ORODHA NYUMBA ZA MABONDENI DAER

Loading...
BAADA YA KUTEMBELEA ENEO LINALO TITIA ,MAKONDA ATOA AGIZO KUTOLEWA ORODHA NYUMBA ZA MABONDENI DAER - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa BAADA YA KUTEMBELEA ENEO LINALO TITIA ,MAKONDA ATOA AGIZO KUTOLEWA ORODHA NYUMBA ZA MABONDENI DAER, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : BAADA YA KUTEMBELEA ENEO LINALO TITIA ,MAKONDA ATOA AGIZO KUTOLEWA ORODHA NYUMBA ZA MABONDENI DAER
link : BAADA YA KUTEMBELEA ENEO LINALO TITIA ,MAKONDA ATOA AGIZO KUTOLEWA ORODHA NYUMBA ZA MABONDENI DAER

soma pia


BAADA YA KUTEMBELEA ENEO LINALO TITIA ,MAKONDA ATOA AGIZO KUTOLEWA ORODHA NYUMBA ZA MABONDENI DAER

Mwamba wa habari
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Paul Makonda  leo amewahimiza Wananchi wote waliojenga kwenye  maeneo hatatishi  ikiwemo  mabonde na sehemu zenye miinuko  kuondoka ili kujikinga  uharibifu  wa Mali na  vifo  visivyokuwa na ulazima.

RC Makonda  ametoa kauli hiyo leo wakati alipofanya  ziara  ya kukagua  uharibifu wa nyumba  zilizovunjika eneo la  Kingugi kwa Mnyani Kata ya Kilungule  baada ya wakazi kujenga kwenye maeneo yasiyoruhusiwa.
Aidha  RC Makonda  amewaagiza  Wenyeviti wote wa mitaa kuainisha nyumba zilizojengwa kwenye  maeneo hatarishi ambapo amewataka kutoruhisu watu kujenga  maeneo ya mabondeni.

Katika kutafuta  mwarobaini  wa tatizo la wananchi waishio mabondeni  RC Makonda ameandaa  mkutano wa wananchi wote waishio maeneo ya mabondeni  kwaajili suluhisho la  kudumu.
Katika ziara alizofanya RC Makonda  amejionea nyumba nyingi zikiwa zimejengwa kwenye  maeneo yasiyo rasmi  kiasi kwamba hata ikitokea  janga la moto  inakuwa vigumu  Jeshi la zimamoto na uokoaji kufika na hata  mgonjwa akizidiwa gafla  ni vigumu kuwahishwa hospital  jambo ambalo ni  hatari kwa usalama.








Hivyo makala BAADA YA KUTEMBELEA ENEO LINALO TITIA ,MAKONDA ATOA AGIZO KUTOLEWA ORODHA NYUMBA ZA MABONDENI DAER

yaani makala yote BAADA YA KUTEMBELEA ENEO LINALO TITIA ,MAKONDA ATOA AGIZO KUTOLEWA ORODHA NYUMBA ZA MABONDENI DAER Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala BAADA YA KUTEMBELEA ENEO LINALO TITIA ,MAKONDA ATOA AGIZO KUTOLEWA ORODHA NYUMBA ZA MABONDENI DAER mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/05/baada-ya-kutembelea-eneo-linalo-titia.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "BAADA YA KUTEMBELEA ENEO LINALO TITIA ,MAKONDA ATOA AGIZO KUTOLEWA ORODHA NYUMBA ZA MABONDENI DAER"

Post a Comment

Loading...