Loading...
title : KATIBU MKUU SIHABA NKINGA AKUTANA NA KIKUNDI CHA KITAIFA CHA MASUALA YA JINSIA KATIKA SERA, MIPANGO, MIKAKATI, PROGRAMU NA BAJETI
link : KATIBU MKUU SIHABA NKINGA AKUTANA NA KIKUNDI CHA KITAIFA CHA MASUALA YA JINSIA KATIKA SERA, MIPANGO, MIKAKATI, PROGRAMU NA BAJETI
KATIBU MKUU SIHABA NKINGA AKUTANA NA KIKUNDI CHA KITAIFA CHA MASUALA YA JINSIA KATIKA SERA, MIPANGO, MIKAKATI, PROGRAMU NA BAJETI
Katibu Mkuu Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi. Sihaba Nkinga akizungumza katika kikao baina yake na kikundi cha uingizaji wa masuala ya jinsia katika Sera, Mipango, Mikakati, Programu na Bajeti za kitaifa jijini Dar es Salaam kujadili utekelezaji wa malengo endelevu ya Umoja wa Mataifa katika Sekta mbalimbali. Kushoto ni Mshauri Mwandamizi wa Masuala ya Kisera UN Women nchini Bi. Usu Mallya.
Mshauri Mwandamizi wa Masuala ya Kisera UN Women nchini Bi. Usu Mallya akielezea Mipango ya masuala mbalimbali ya kuwawezesha wanawake kiuchumi katika kikao baina ya Katibu Mkuu Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi. Sihaba Nkinga na kikundi cha uingizaji wa masuala ya jinsia katika Sera, Mipango, Mikakati, Programu na Bajeti za kitaifa jijini Dar es Salaam kujadili utekelezaji wa malengo endelevu ya Umoja wa Mataifa katika sekta mbalimbali. Kulia ni Katibu Mkuu Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi. Sihaba Nkinga.
Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Maendeleo ya Jinsia Bi. Mwajuma Magwiza (kulia) akielezea jinsi maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake kwa mwaka 2018 yalivyofanyika na kuwashuruku wadau kwa kuwezesha kufanikisha maadhimisho hayo katika kikao kilichowakutanisha Katibu Mkuu Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi. Sihaba Nkinga alipokutana na kikundi cha uingizaji wa masuala ya jinsia katika Sera, Mipango, Mikakati, Programu na Bajeti za kitaifa jijini Dar es Salaam.
Mwezeshaji wa Masuala ya Jinsia Dkt. Linda Mhando(kulia) akielezea masuala mbalimbali aliyoyapata katika utafiti alioufanya kuhusu utekelezaji wa Sera ya Maendeleo ya Jinsia ya Mwaka (2000) na ushauri wake kuhusu maboresho ya Sera hiyo wakati wa kikao kati ya Katibu Mkuu Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi. Sihaba Nkinga na kikundi cha uingizaji wa masuala ya jinsia katika Sera, Mipango, Mikakati, Programu na Bajeti za kitaifa jijini Dar es Salaam.
Baadhi wajumbe wa kikundi cha uingizaji wa masuala ya jinsia katika Sera, Mipango, Mikakati, Programu na Bajeti za kitaifa wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikiwasiliwa katika kikao kati yao na Katibu Mkuu Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi. Sihaba Nkinga Jijini Dar es Salaam.
Picha na Kitengo cha Mawasiliano WAMJW
Hivyo makala KATIBU MKUU SIHABA NKINGA AKUTANA NA KIKUNDI CHA KITAIFA CHA MASUALA YA JINSIA KATIKA SERA, MIPANGO, MIKAKATI, PROGRAMU NA BAJETI
yaani makala yote KATIBU MKUU SIHABA NKINGA AKUTANA NA KIKUNDI CHA KITAIFA CHA MASUALA YA JINSIA KATIKA SERA, MIPANGO, MIKAKATI, PROGRAMU NA BAJETI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala KATIBU MKUU SIHABA NKINGA AKUTANA NA KIKUNDI CHA KITAIFA CHA MASUALA YA JINSIA KATIKA SERA, MIPANGO, MIKAKATI, PROGRAMU NA BAJETI mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/05/katibu-mkuu-sihaba-nkinga-akutana-na.html
0 Response to "KATIBU MKUU SIHABA NKINGA AKUTANA NA KIKUNDI CHA KITAIFA CHA MASUALA YA JINSIA KATIKA SERA, MIPANGO, MIKAKATI, PROGRAMU NA BAJETI"
Post a Comment