Loading...

MAMA JANETH MAGUFULI ATOA MSAADA WA VYAKULA KWA WAFUNGWA WANAWAKE NA WATOTO WALIOKO GEREZA LA SEGEREA

Loading...
MAMA JANETH MAGUFULI ATOA MSAADA WA VYAKULA KWA WAFUNGWA WANAWAKE NA WATOTO WALIOKO GEREZA LA SEGEREA - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MAMA JANETH MAGUFULI ATOA MSAADA WA VYAKULA KWA WAFUNGWA WANAWAKE NA WATOTO WALIOKO GEREZA LA SEGEREA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MAMA JANETH MAGUFULI ATOA MSAADA WA VYAKULA KWA WAFUNGWA WANAWAKE NA WATOTO WALIOKO GEREZA LA SEGEREA
link : MAMA JANETH MAGUFULI ATOA MSAADA WA VYAKULA KWA WAFUNGWA WANAWAKE NA WATOTO WALIOKO GEREZA LA SEGEREA

soma pia


MAMA JANETH MAGUFULI ATOA MSAADA WA VYAKULA KWA WAFUNGWA WANAWAKE NA WATOTO WALIOKO GEREZA LA SEGEREA

  Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akiongea kabla ya kukabidhi vyakula kwa ajili ya wafungwa wanawake na watoto waliko katika gereza la Segerea jijini Dar es salaam katika haflka fupi iliyofanyika ofisini kwake leo Mei 18, 2018. Wanaomsikilia ni Kaimu Kamishna Mkuu wa Magereza Gaston Kalam Sanga, Mkuu wa Magereza Mkoa wa Dar es salaam Naibu Kamishna wa Magereza Augustino Mboje na Mkuu wa Gereza la segerea Kamishna Msaidizi wa Magereza Widson Mandarasi Mwanangwe. Msaada huo ni pamoja na tani 4.8 za mchele, tani 4.8 za Unga wa mahindi, tani 2.8 za sukari pamoja na tende
  Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akimkabidhi Kaimu Kamishna Mkuu wa Magereza Gaston Kalam Sanga vyakula kwa ajili ya wafungwa wanawake na watoto waliko katika gereza la Segerea jijini Dar es salaam katika haflka fupi iliyofanyika ofisini kwake leo Mei 18, 2018. wanaoshuhudia ni Mkuu wa Magereza Mkoa wa Dar es salaam Naibu Kamishna wa Magereza Augustino Mboje na Mkuu wa Gereza la segerea Kamishna Msaidizi wa Magereza Widson Mandarasi Mwanangwe. 
 Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akimsikiliza Kaimu Kamishna Mkuu wa Magereza Gaston Kalam Sanga akishukuru baada ya kumkabidhi vyakula kwa ajili ya wafungwa wanawake na watoto waliko katika gereza la Segerea jijini Dar es salaam katika haflka fupi iliyofanyika ofisini kwake leo Mei 18, 2018. wanaoshuhudia ni Mkuu wa Magereza Mkoa wa Dar es salaam Naibu Kamishna wa Magereza Augustino Mboje na Mkuu wa Gereza la segerea Kamishna Msaidizi wa Magereza Widsob Mandarasi Mwanangwe. 
 Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Kaimu Kamishna Mkuu wa Magereza Gaston Kalam Sanga na askari wengine waliofika kupokea vyakula kwa ajili ya wafungwa wanawake na watoto waliko katika gereza la Segerea jijini Dar es salaam katika haflka fupi iliyofanyika ofisini kwake leo Mei 18, 2018. 
  Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akiagana  na Kaimu Kamishna Mkuu wa Magereza Gaston Kalam Sanga baada ya kukabidhi  vyakula kwa ajili ya wafungwa wanawake na watoto waliko katika gereza la Segerea jijini Dar es salaam katika haflka fupi iliyofanyika ofisini kwake leo Mei 18, 2018. 


Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akiongea na  Kaimu Kamishna Mkuu wa Magereza Gaston Kalam Sanga, Mkuu wa Magereza Mkoa wa Dar es salaam Naibu Kamishna wa Magereza Augustino Mboje na Mkuu wa Gereza la segerea Kamishna Msaidizi wa Magereza Widsob Mandarasi Mwanangwe,  baada ya kumkabidhi vyakula kwa ajili ya wafungwa wanawake na watoto waliko katika gereza la Segerea jijini Dar es salaam katika haflka fupi iliyofanyika ofisini kwake leo Mei 18, 2018.  
 Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akiwa katika picha ya kumbukumbu na asklari wanawake waliofika kupokea vyakula kwa ajili ya wafungwa wanawake na watoto waliko katika gereza la Segerea jijini Dar es salaam katika haflka fupi iliyofanyika ofisini kwake leo Mei 18, 2018.  
Picha na IKULU  


Hivyo makala MAMA JANETH MAGUFULI ATOA MSAADA WA VYAKULA KWA WAFUNGWA WANAWAKE NA WATOTO WALIOKO GEREZA LA SEGEREA

yaani makala yote MAMA JANETH MAGUFULI ATOA MSAADA WA VYAKULA KWA WAFUNGWA WANAWAKE NA WATOTO WALIOKO GEREZA LA SEGEREA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MAMA JANETH MAGUFULI ATOA MSAADA WA VYAKULA KWA WAFUNGWA WANAWAKE NA WATOTO WALIOKO GEREZA LA SEGEREA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/05/mama-janeth-magufuli-atoa-msaada-wa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MAMA JANETH MAGUFULI ATOA MSAADA WA VYAKULA KWA WAFUNGWA WANAWAKE NA WATOTO WALIOKO GEREZA LA SEGEREA"

Post a Comment

Loading...