Loading...

Matukio : Tatu Mzuka yatangaza ushirikiano wa kibiashara na Wema Sepetu

Loading...
Matukio : Tatu Mzuka yatangaza ushirikiano wa kibiashara na Wema Sepetu - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Matukio : Tatu Mzuka yatangaza ushirikiano wa kibiashara na Wema Sepetu, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Matukio : Tatu Mzuka yatangaza ushirikiano wa kibiashara na Wema Sepetu
link : Matukio : Tatu Mzuka yatangaza ushirikiano wa kibiashara na Wema Sepetu

soma pia


Matukio : Tatu Mzuka yatangaza ushirikiano wa kibiashara na Wema Sepetu


Kampuni ya ‘The Network’ ambayo ni kampuni mama inayoendesha mchezo wa namba wa Tatu Mzuka nchini Tanzania, leo imetangaza kuanza ushirikiano wa kibiashara na mrembo maarufu nchini Bi. Wema Sepetu.

Ushirikiano huu ni mwendelezo wa mpango mkakakati wa Tatu Mzuka wa kufanya kazi bega kwa bega na Watanzania katika kuboresha maisha yao. Kusudi hasa la Tatu Mzuka kama ilivyoelezwa ni kusambaza fursa kwa watu wengi kadri inavyowezekana ili kubadilisha maisha yao.

Akiongea kwenye mkutano na waandishi wa habari Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Tatu Mzuka, Bwana Sebastian Maganga alisema kwamba ushirikiano huu ni mmojawapo kati ya nyingi ambazo Tatu Mzuka wanajihusisha nazo.‘Muda wote tunaangalia kipaji ambacho tunahisi kinaendana na bidhaa yetu na hivyo kuanzisha ushirikiano wa kibiashara. Katika biashara yetu tayari tuna ushirikiano na Millard Ayo, Brother K, Shilawadu na wengine wengi na leo tunatangaza kumwongeza Wema Sepetu kwenye orodha hiyo’ alisema Maganga.

Wema ambaye alikuwepo pia kuelezea furaha yake baada ya kutangaza ushirikiano na Tatu Mzuka, alisisitiza kwamba ana hamu kubwa ya kuanza kuwashirikisha mashabiki wake mambo mazuri ambayo amewaandalia.‘Ninawashukuru sana Tatu Mzuka kwa ushirikiano huu, ambao hakika sio tu utanigusa mimi bali mashabiki zangu na watanzania kwa ujumla wao katika kujitengenezea fursa za kuboresha maisha yao’ alisema Wema.

Wema alisema kwa kuanza, anaomba mashabiki zake wachangamkie fursa ya kucheza Tatu Mzuka, ambapo kama unatumia MPESA, TIGO PESA au AIRTEL MONEY, unaingiza namba ya kampuni ambayo ni 555111 na baada ya hapo unaweka namba zako 3 za bahati zikifuatiwa na jina langu WEMA na baada ya hapo ingiza kiasi unachotaka kuanzia shilingi 500 mpaka 30,000.

‘Pamoja na kujiongezea nafasi za kushinda za kawaida za Tatu Mzuka kila saa hadi milioni 6, kila siku unaweza kushinda milioni 10 pamoja na zaidi ya milioni 140 kila Jumapili, utapata fursa zaidi ya zawadi mbalimbali kutoka kwa Wema’ alisema Wema. Pamoja na utambulisho wa Wema, Tatu Mzuka pia ilitangaza kwamba Jumapili hii ya tarehe 13 ambayo ni siku ya mama duniani kuna milioni 140 ambayo lazima itolewe kwa mtu mmoja pamoja na mama yake.

‘Hii ni fursa kwa kila mtanzania ambaye kwa namna moja ama nyingine angependa kumshukuru mama yake au mlezi wake kwa kazi kubwa aliyofanya, na hivyo ukicheza sasa, unaingia kwenye Mzuka Deile ambayo inafanyika kila siku Jumatatu hadi Jumamosi, ambapo milioni 10 lazima itoke kwa mtanzania mmoja na yeye atamgawia mama yake milioni 3, wakati Jumapili hii kwenye Mzuka Jackpot yeyote atakayeshinda milioni 140 atambusti mama yake kwa milioni 30’ alihitimisha Maganga
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Tatu Mzuka, Bwana Sebastian Maganga akizungumza mbele ya Waandishi wa habari mapema jana jijini Dar kuhusu Kampuni ya ‘The Network’ ambayo ni kampuni mama inayoendesha mchezo wa namba wa Tatu Mzuka nchini Tanzania, kutangaza kuanza ushirikiano wa kibiashara na mrembo maarufu nchini Bi. Wema Sepetu pichani kushoto.

‘Muda wote tunaangalia kipaji ambacho tunahisi kinaendana na bidhaa yetu na hivyo kuanzisha ushirikiano wa kibiashara. Katika biashara yetu tayari tuna ushirikiano na Millard Ayo, Brother K, Shilawadu na wengine wengi na leo tunatangaza kumwongeza Wema Sepetu kwenye orodha hiyo’ alisema Maganga.

Wema ambaye alikuwepo pia kuelezea furaha yake baada ya kutangaza ushirikiano na Tatu Mzuka, alisisitiza kwamba ana hamu kubwa ya kuanza kuwashirikisha mashabiki wake mambo mazuri ambayo amewaandalia.

Bi Wema Sepetu akizungumza mbele ya waanidishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu Kampuni ya ‘The Network’ ambayo ni kampuni mama inayoendesha mchezo wa namba wa Tatu Mzuka nchini Tanzania, kutangaza kuanza ushirikiano nae wa kibiashara .




Wema Sepetu akifurahia jambo mara baada ya kutangazwa ushirikiano wake na kampuni ya The Netwek-ambayo ni kampuni mama inayoendesha mchezo wa namba wa Tatu Mzuka nchini Tanzania


Hivyo makala Matukio : Tatu Mzuka yatangaza ushirikiano wa kibiashara na Wema Sepetu

yaani makala yote Matukio : Tatu Mzuka yatangaza ushirikiano wa kibiashara na Wema Sepetu Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Matukio : Tatu Mzuka yatangaza ushirikiano wa kibiashara na Wema Sepetu mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/05/matukio-tatu-mzuka-yatangaza.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Matukio : Tatu Mzuka yatangaza ushirikiano wa kibiashara na Wema Sepetu"

Post a Comment

Loading...