Loading...

Chuo Kikuu cha Mzumbe yatangaza maombi kwa njia ya mtandao

Loading...
Chuo Kikuu cha Mzumbe yatangaza maombi kwa njia ya mtandao - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Chuo Kikuu cha Mzumbe yatangaza maombi kwa njia ya mtandao, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Chuo Kikuu cha Mzumbe yatangaza maombi kwa njia ya mtandao
link : Chuo Kikuu cha Mzumbe yatangaza maombi kwa njia ya mtandao

soma pia


Chuo Kikuu cha Mzumbe yatangaza maombi kwa njia ya mtandao

Na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii
Chuo Kikuu cha Mzumbe kimesema kuwa waombaji wa kozi mbalimbali katika chuo hicho wanaomba moja kwa moja kwa njia ya mtandao ikiwa ni kuwaondolea usumbufu kwenda vyuoni kwa kwa ajili ya udahili.
Akizungumza na katika banda la Chuo  Kikuu cha  Mzumbe katika moenesho ya 42 ya biashara kimataifa katika viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere, Ofisa Udahili wa chuo hicho Innocent Mgeta amesema kuwa kwa wataotembelea maonesho ya sabasaba watasaidiwa maombi hayo kwa njia ya Mtandao.
Amesema kuwa kwa waombaji wa  udakitari wa Falsafa wataomba maombi yao moja kwa moja chuoni hii ni kutokana na mfumo waliouweka.
Aidha amesema kuwa Chuo cha Mzumbe kinaendelea kutoa elimu bora kwa ajili ya maendeleo ya taifa kutokana na kozi zilizopo katika kila mwaka wa masomo.
 Ofisa Udahili wa chuo  Kikuu cha Mzumbe,Innocent Mgeta akizungumza katika banda la chuo hicho katika moenesho ya 42 ya biashara kimataifa katika viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere.
 Mkufuzi wa Shule ya Biashara ya Chuo Kikuu cha Mzumbe Johakim John akitoa maelezo kwa mteja aliyetembelea banda chuo hicho katika moenesho ya 42 ya biashara kimataifa katika viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere.
.Ofisa Udahili wa Chuo Kikuu cha Mzumbe, Edward Shana akizungumza na wateja waliotembelea banda chuo hicho katika moenesho ya 42 ya biashara kimataifa katika viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere.


Hivyo makala Chuo Kikuu cha Mzumbe yatangaza maombi kwa njia ya mtandao

yaani makala yote Chuo Kikuu cha Mzumbe yatangaza maombi kwa njia ya mtandao Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Chuo Kikuu cha Mzumbe yatangaza maombi kwa njia ya mtandao mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/06/chuo-kikuu-cha-mzumbe-yatangaza-maombi.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Chuo Kikuu cha Mzumbe yatangaza maombi kwa njia ya mtandao"

Post a Comment

Loading...