DC MJEMA AZINDU KAMBI YA WAREMBO ILALA , ATAMBA MISS TANZANIA ATATOKA ILALA. - Hallo rafiki
SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa DC MJEMA AZINDU KAMBI YA WAREMBO ILALA , ATAMBA MISS TANZANIA ATATOKA ILALA., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts
makala afya,
makala general,
makala kisiasa,
makala kitamaduni,
makala kiuchumi,
makala mambo mapya,
makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.
title :
DC MJEMA AZINDU KAMBI YA WAREMBO ILALA , ATAMBA MISS TANZANIA ATATOKA ILALA.link :
DC MJEMA AZINDU KAMBI YA WAREMBO ILALA , ATAMBA MISS TANZANIA ATATOKA ILALA.
DC MJEMA AZINDU KAMBI YA WAREMBO ILALA , ATAMBA MISS TANZANIA ATATOKA ILALA.
 |
Mwamba wa habari
Na.John Luhende
Mkuu wa Wilaya ya Ilala mhe Sophia Mjema amewataka wasichana wanaoshiriki mashindano ya miss Ilala 2018, kujiamini na kuwa wabunifu na kushiriki katika shughuli za maendeleo katikajamii.
Mhe Mjema Ameyasema hayo katika hotel ya Lamada Ilala wakati akizindua rasmi kambi ya kujiandaa na mashindano ya Miss Ilala yanayotarajiwa kufanyika Julai 6/2018, na kuahidi kuwa ofisi yake itafanya kazi kwa kushirikiana na washiriki wote katika shughuli za kijamii na kuhamasisha maendeleo.
|
"Napenda niwatie moyo kuwa ninyi ni wasichana warembo na mtafika mbali na mshindi wa Miss Tanzania atatoka Ilala kwakuwa nimewaona mnaweza" alisema
Aidha Mjema Manispaa ya Ilala itagharamia zawadi za washindi , ametaja zawadi za mshindi na washiriki za washiriki wa mashindano hayo kuwa, mshindi wa kwanza atapewa Kiwanja na hati.
"Katika mashindano Kuna namba ya kwanza ya pili na kuendelea sasa wotowangu hujashinda usinune , wewe katika kuingia katika kambi hii tayari sisi tumeshajenga kuona utafanya kazi na sisi kwa muda wa mwakammoja" alisema
Kwa upande wake mlezi wa wasichana hao Diwani wa Vingunguti ambaye pia ni Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala Omary Kumbilamoto amemshukuru DC Mjema kwa Wilaya yake kujitoea kutoa zawadi za washindi wa mashindano hayo na kuahidi kuwa mashindano hayo yatafanyika kwa haki na nayeye kama mlezi atakuwa karibu na walimbwende hao kuhakikisha wanapewa mafunzo yanayostahiki ili waweze kupata mshindi bora.
Hivyo makala DC MJEMA AZINDU KAMBI YA WAREMBO ILALA , ATAMBA MISS TANZANIA ATATOKA ILALA.
yaani makala yote DC MJEMA AZINDU KAMBI YA WAREMBO ILALA , ATAMBA MISS TANZANIA ATATOKA ILALA. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala DC MJEMA AZINDU KAMBI YA WAREMBO ILALA , ATAMBA MISS TANZANIA ATATOKA ILALA. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/06/dc-mjema-azindu-kambi-ya-warembo-ilala.html
Related Posts :
RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AKUTANA NA UONGOZI WA WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Elimu na M… Read More...
Jumia yaadhimisha miaka 6 ya mapinduzi ya biashara za mtandaoni Afrika
Takribani wateja 500,000 wanatembelea Jumia ndani ya mwezi katika mwaka huu 2018, kutoka wastani wa wateja 250,000 kwa mwezi mwaka 2017.Ma… Read More...
Mwijage awataka Wahandisi Kujiongeza Na Jacquiline Mrisho - MAELEZO.
Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage amewataka wahan… Read More...
AGIZO LA WAZIRI UMMY MWALIMU LAANZA KUTEKELEZWANa Mwandishi Wetu – Dodoma
Agizo alililotolewa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu la kuanzishwa kwa… Read More...
NAIBU SPIKA DKT. TULIA MGENI RASMI SIMIYU FESTIVAL 2018
Na Stella Kalinga, Simiyu,
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe. Dkt. Tulia Ackson anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kat… Read More...
0 Response to "DC MJEMA AZINDU KAMBI YA WAREMBO ILALA , ATAMBA MISS TANZANIA ATATOKA ILALA."
Post a Comment