Loading...
title : DC MJEMA AZINDU KAMBI YA WAREMBO ILALA , ATAMBA MISS TANZANIA ATATOKA ILALA.
link : DC MJEMA AZINDU KAMBI YA WAREMBO ILALA , ATAMBA MISS TANZANIA ATATOKA ILALA.
DC MJEMA AZINDU KAMBI YA WAREMBO ILALA , ATAMBA MISS TANZANIA ATATOKA ILALA.
"Napenda niwatie moyo kuwa ninyi ni wasichana warembo na mtafika mbali na mshindi wa Miss Tanzania atatoka Ilala kwakuwa nimewaona mnaweza" alisema
Aidha Mjema Manispaa ya Ilala itagharamia zawadi za washindi , ametaja zawadi za mshindi na washiriki za washiriki wa mashindano hayo kuwa, mshindi wa kwanza atapewa Kiwanja na hati.
Kwa upande wake mlezi wa wasichana hao Diwani wa Vingunguti ambaye pia ni Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala Omary Kumbilamoto amemshukuru DC Mjema kwa Wilaya yake kujitoea kutoa zawadi za washindi wa mashindano hayo na kuahidi kuwa mashindano hayo yatafanyika kwa haki na nayeye kama mlezi atakuwa karibu na walimbwende hao kuhakikisha wanapewa mafunzo yanayostahiki ili waweze kupata mshindi bora.
Hivyo makala DC MJEMA AZINDU KAMBI YA WAREMBO ILALA , ATAMBA MISS TANZANIA ATATOKA ILALA.
yaani makala yote DC MJEMA AZINDU KAMBI YA WAREMBO ILALA , ATAMBA MISS TANZANIA ATATOKA ILALA. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala DC MJEMA AZINDU KAMBI YA WAREMBO ILALA , ATAMBA MISS TANZANIA ATATOKA ILALA. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/06/dc-mjema-azindu-kambi-ya-warembo-ilala.html
0 Response to "DC MJEMA AZINDU KAMBI YA WAREMBO ILALA , ATAMBA MISS TANZANIA ATATOKA ILALA."
Post a Comment