Loading...
title : DKT. NZUKI AIWAKILISHA TANZANIA KWENYE MKUTANO WA UNWTO-AFRIKA NCHINI NIGERIA
link : DKT. NZUKI AIWAKILISHA TANZANIA KWENYE MKUTANO WA UNWTO-AFRIKA NCHINI NIGERIA
DKT. NZUKI AIWAKILISHA TANZANIA KWENYE MKUTANO WA UNWTO-AFRIKA NCHINI NIGERIA
Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Aloyce Nzuki (kulia) akisalimiana na Waziri wa Utalii wa Kenya ambaye pia ni Mwenyekiti wa Shirika la Utalii la Umoja wa Mataifa barani Afrika (UNWTO), Mhe. Najib Balala walipokutana kwenye semina wakati wa mkutano wa kimataifa wa kujadili takwimu za utalii kama kichocheo cha maendeleo barani Afrika jijini Abuja nchini Nigeria Juni 4-6,2108. Dkt. Nzuki amemuwakilisha Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla katika mkutano huo.
Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Aloyce Nzuki (kulia) akiwa na Waziri wa Utalii wa Zambia, Mhe. Charles Banda katika mkutano huo.
Hivyo makala DKT. NZUKI AIWAKILISHA TANZANIA KWENYE MKUTANO WA UNWTO-AFRIKA NCHINI NIGERIA
yaani makala yote DKT. NZUKI AIWAKILISHA TANZANIA KWENYE MKUTANO WA UNWTO-AFRIKA NCHINI NIGERIA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala DKT. NZUKI AIWAKILISHA TANZANIA KWENYE MKUTANO WA UNWTO-AFRIKA NCHINI NIGERIA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/06/dkt-nzuki-aiwakilisha-tanzania-kwenye.html
0 Response to "DKT. NZUKI AIWAKILISHA TANZANIA KWENYE MKUTANO WA UNWTO-AFRIKA NCHINI NIGERIA"
Post a Comment