Loading...

MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAFANYAKAZI WA IDARA YA HABARI MAELEZO ZANZIBAR YAFANYIKA.

Loading...
MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAFANYAKAZI WA IDARA YA HABARI MAELEZO ZANZIBAR YAFANYIKA. - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAFANYAKAZI WA IDARA YA HABARI MAELEZO ZANZIBAR YAFANYIKA., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAFANYAKAZI WA IDARA YA HABARI MAELEZO ZANZIBAR YAFANYIKA.
link : MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAFANYAKAZI WA IDARA YA HABARI MAELEZO ZANZIBAR YAFANYIKA.

soma pia


MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAFANYAKAZI WA IDARA YA HABARI MAELEZO ZANZIBAR YAFANYIKA.

Afisa Utumishi Idara ya Habari Maelezo Ali Suleiman Bakili (Kushoto) akizungumza machache katika Mafunzo ya Kuwajengea Uwezo Wafanyakazi wa Idara ya Habari Maelezo yaliofanyika katika ukumbi wa Sanaa Rahaleo Zanzibar.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo Hassan Vuai(kulia) akitoa hotuba ya Ufunguzi wa  Mafunzo ya Kuwajengea Uwezo Wafanyakazi wa Idara ya Habari Maelezo yaliofanyika katika ukumbi wa Sanaa Rahaleo Zanzibar.
Baadhi ya Wafanyakazi wa Idara ya Habari Maelezo waliopatiwa mafunzo ya Kuwajengea Uwezo wa utendaji kazi yaliofanyika katika ukumbi wa Sanaa Rahaleo Zanzibar.
Muwezeshaji kutoka Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Katiba Sheria Utumishi wa Umma na Utawala Bora  Mussa Suleiman Maftah akiwasilisha mada Haki na Wajibu wa Mfanyakazi   katika Mafunzo ya Kuwajengea Uwezo Wafanyakazi wa Idara ya Habari Maelezo yaliofanyika katika ukumbi wa Sanaa Rahaleo Zanzibar.
Muwezeshaji kutoka Wizara ya Vijana Sanaa Utamaduni na Michezo Hamisuu Hamad Mohd akifafanua baadhi ya maswala yalioulizwa  katika Mafunzo ya Kuwajengea Uwezo Wafanyakazi wa Idara ya Habari Maelezo yaliofanyika katika ukumbi wa Sanaa Rahaleo Zanzibar.
Mfanyakazi wa Idara ya Habari Maelezo Ali Issa akiuliza maswali katika  Mafunzo ya Kuwajengea Uwezo Wafanyakazi wa Idara ya Habari Maelezo yaliofanyika katika ukumbi wa Sanaa Rahaleo Zanzibar.
Picha na Yussuf  Simai - Maelezo Zanzibar.


Hivyo makala MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAFANYAKAZI WA IDARA YA HABARI MAELEZO ZANZIBAR YAFANYIKA.

yaani makala yote MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAFANYAKAZI WA IDARA YA HABARI MAELEZO ZANZIBAR YAFANYIKA. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAFANYAKAZI WA IDARA YA HABARI MAELEZO ZANZIBAR YAFANYIKA. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/06/mafunzo-ya-kuwajengea-uwezo-wafanyakazi.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAFANYAKAZI WA IDARA YA HABARI MAELEZO ZANZIBAR YAFANYIKA."

Post a Comment

Loading...