Loading...

MTOTO PEKEE WA KIUME WA D'BANJ AFARIKI DUNIA NCHINI NIGERIA

Loading...
MTOTO PEKEE WA KIUME WA D'BANJ AFARIKI DUNIA NCHINI NIGERIA - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MTOTO PEKEE WA KIUME WA D'BANJ AFARIKI DUNIA NCHINI NIGERIA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MTOTO PEKEE WA KIUME WA D'BANJ AFARIKI DUNIA NCHINI NIGERIA
link : MTOTO PEKEE WA KIUME WA D'BANJ AFARIKI DUNIA NCHINI NIGERIA

soma pia


MTOTO PEKEE WA KIUME WA D'BANJ AFARIKI DUNIA NCHINI NIGERIA

*Ni baada ya kutumbukia kwenye bwawa la kuogelea la nyumbani 

Na Zainab Nyamka, Globu ya jamii

MWANAMUZIKI wa nchini Nigeria Dapo Oyebanjo ‘D’banj’ amepoteza mtoto wake wa kiume wa pekee baada ya kutumbukia kwenye bwawa la kuogelea na kufariki dunia jana nchini Nigeria.

D’banj akiwa Los Angels kwenye tuzo za muziki za BET, msanii huyo aliweza kupewa taarifa za kifo za mtoto wake anayejulikana kwa jina la  Daniel Oyebanjo III  kuwa amezama na kufa maji.

Imeripotiwa kuwa mtoto huyo, Daniel Oyebanjo III, alizama kwenye bwawa la kuogelea (swimming pool) lililopo nyumbani kwa mwanamuziki huyo huko Ikoyi, jijini Lagos.

Hivyo D’banj aliripoti kifo cha mwanaye huyo wa mwaka mmoja kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Instagram kwa kuweka picha iliyotawaliwa na rangi nyeusi ikiambatana na ujumbe uliosomeka “Nyakati ngumu, lakini Mungu wangu ni mwaminifu, wakati wote na daima.”

Imethibitishwa kuwa mke wa mwanamuziki huyo, Lineo Didi alikuwa nyumbani wakati tukio hilo likitokea na haijajulikana kama kuna mtu aliyekuwa kwenye bwawa hilo huku.

Mapema wiki hii D’ banj katika ukurasa wake wa mtandao wa Instagram ikiwa ni siku ya kina baba ‘Father’s Day’ akiwa anamvalisha mwanae pampers.


Hivyo makala MTOTO PEKEE WA KIUME WA D'BANJ AFARIKI DUNIA NCHINI NIGERIA

yaani makala yote MTOTO PEKEE WA KIUME WA D'BANJ AFARIKI DUNIA NCHINI NIGERIA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MTOTO PEKEE WA KIUME WA D'BANJ AFARIKI DUNIA NCHINI NIGERIA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/06/mtoto-pekee-wa-kiume-wa-dbanj-afariki.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MTOTO PEKEE WA KIUME WA D'BANJ AFARIKI DUNIA NCHINI NIGERIA"

Post a Comment

Loading...