Loading...

WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AFUTURISHA JIJINI MWANZA

Loading...
WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AFUTURISHA JIJINI MWANZA - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AFUTURISHA JIJINI MWANZA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AFUTURISHA JIJINI MWANZA
link : WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AFUTURISHA JIJINI MWANZA

soma pia


WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AFUTURISHA JIJINI MWANZA

 Mke wa Waziri Mkuu, Mama Mary Majaliwa akisalimiana na Mkuu wa wilaya ya Nyamagana, Mary Tesha wakati alipowasili kwenye viwanja vya Benki Kuu jijini Mwanza kushiriki katika futari iliyoandaliwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Juni 9, 2018. 
 Sehemu ya wakazi wa jiji la Mwanza wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza katika futari aliyoiandaa kwenye viwanja vya Benki Kuu jijini Mwanza Juni 9, 2018. 
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipofuturisha kwenye viwanja vya Benki Kuu jijini Mwanza Juni 9, 2018. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella. 
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akishiriki katika dua iliyoongozwa na Sheikh Khamis Almasi (wanne kushoto) baada ya kufuturisha kwenye viwanja vya Benki Kuu jijini Mwanza Juni 9, 2018.  Wengine kutoka kushoto ni Naibu Waziri TAMISEMI, Joseph Kakunda, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella, Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Jamal Abdul Babu na Mwenyekiti Mwenza wa Kamati ya Amani inayojumuisha  viongozi wa dini zote ya mkoa wa Mwanza, Askofu Charles Sekelwa.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akigana na Mwenyekiti Mwenza wa Kamati ya Amani inayojumuisha viongozi wa dini zote ya mkoa wa Mwanza, Askofu Charles Sekela baada ya kufuturisha kwenye viwanja vya Benki Kuu jijini Mwanza Juni 9, 2018.  Wengine kutoka kushoto ni Naibu Waziri TAMISEMI, Charles Kakunda na  Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella na Sheikh Khamisi Almasi. 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson Mwansasu baada ya kufuturisha kwenye viwanja vya  Benki Kuu jijini Mwanza Juni 9, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


Hivyo makala WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AFUTURISHA JIJINI MWANZA

yaani makala yote WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AFUTURISHA JIJINI MWANZA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AFUTURISHA JIJINI MWANZA mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/06/waziri-mkuu-mhe-kassim-majaliwa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AFUTURISHA JIJINI MWANZA"

Post a Comment

Loading...