Loading...

Bilioni Mbili Kuwawezesha Wahitimu wa Fani za Kilimo SUA Kuanzisha Miradi ya Kilimo Biashara Tanzania.

Loading...
Bilioni Mbili Kuwawezesha Wahitimu wa Fani za Kilimo SUA Kuanzisha Miradi ya Kilimo Biashara Tanzania. - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Bilioni Mbili Kuwawezesha Wahitimu wa Fani za Kilimo SUA Kuanzisha Miradi ya Kilimo Biashara Tanzania., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Bilioni Mbili Kuwawezesha Wahitimu wa Fani za Kilimo SUA Kuanzisha Miradi ya Kilimo Biashara Tanzania.
link : Bilioni Mbili Kuwawezesha Wahitimu wa Fani za Kilimo SUA Kuanzisha Miradi ya Kilimo Biashara Tanzania.

soma pia


Bilioni Mbili Kuwawezesha Wahitimu wa Fani za Kilimo SUA Kuanzisha Miradi ya Kilimo Biashara Tanzania.

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya PASS Bwana Nicomed Bohay akiongea katika hafla ya makubaliano na Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA) ya kuwaandaa kwa vitendo Wajasiliamali vijana wahitimu wa fani mbalimbali hususani katika sekta ya Kilimo iliyofanyika chuoni hapo mjini Morogoro. Kushoto ni Makamu Mkuu wa Chuo cha Sokoine Prof. Raphael Chibunda. Picha zote na Cathbert Kajuna - Kajunason/MMG, Morogoro.
Baadhi ya waandishi wa habari wa mkoa wa Morogoro wakifuatilia kwa makini halfa hiyo.
Makamu Mkuu wa Chuo cha Sokoine Prof. Raphael Chibunda akitoa shukrani zake za pekee kwa Taasisi binafsi ya kusaidia Sekta ya kilimo nchini (PASS) jinsi walivyojitoa kuwasaidia wajasiliamali kujikwamua katika kilimo kibiashara ikiwa ni pamoja na kuwajengea uwezo wa elimu.
Wageni pamoja na wakuu wa idara mbali mbali katika chuo kikuu cha SUA mjini Morogoro wakimsikiliza kwa makini makamu wa chuo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya PASS Bwana Nicomed Bohay (katikati waliokaa) na Makamu Mkuu wa Chuo cha Sokoine Prof. Raphael Chibunda (kwanza kushoto) wakiasaini mkataba wa makubaliano na Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA) ya kuwaandaa kwa vitendo Wajasiliamali vijana wahitimu wa fani mbalimbali hususani katika sekta ya Kilimo. Wanaoshuhudia ni wafanyakazi wa PASS na Chuo Kikuu cha SUA.
Wakibadilishana mkataba wa makuabaliano.
Wakionyesha mkataba kwa furaha.
Picha ya pamoja baina yao.
Wakiagana kwa furaha mara baada ya tukio la makabidhiano kumalizika.


Hivyo makala Bilioni Mbili Kuwawezesha Wahitimu wa Fani za Kilimo SUA Kuanzisha Miradi ya Kilimo Biashara Tanzania.

yaani makala yote Bilioni Mbili Kuwawezesha Wahitimu wa Fani za Kilimo SUA Kuanzisha Miradi ya Kilimo Biashara Tanzania. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Bilioni Mbili Kuwawezesha Wahitimu wa Fani za Kilimo SUA Kuanzisha Miradi ya Kilimo Biashara Tanzania. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/07/bilioni-mbili-kuwawezesha-wahitimu-wa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Bilioni Mbili Kuwawezesha Wahitimu wa Fani za Kilimo SUA Kuanzisha Miradi ya Kilimo Biashara Tanzania."

Post a Comment

Loading...