Loading...
title :
link :
JARIDA LA WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI – “ARDHI NI MTAJI”
TOLEAO Na. 9 LA JARIDA LA WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI
Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imetoa Jarida lake la mwaka (2018) – ARDHI NI MTAJI (Toleo Na. 9). Jarida hili haliuzwi. Kuna nakala chache ambazo zitapatikana Wizarani – Dodoma na katika Kanda ya Dar es Salaam (Magogoni, Kivukoni) katika Kitengo cha Huduma kwa mteja.
Aidha Jarida hili litapatikana pia hivi karibuni kwenye Tovuti ya Wizara (www.lands.go.tz)
Mwananchi pata nakala yako upate kuhabarika kuhusu shughuli na Matukio mbalimbali ya Utekelezaji ya Wizara.
Na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini – Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi.
Hivyo makala
yaani makala yote
Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/07/jarida-la-wizara-ya-ardhi-nyumba-na.html
0 Response to " "
Post a Comment