Loading...

KAMATI YA FEDHA BARAZA LA MADIWANI ILALA YATEMBELEA MIRADI ,YAAGIZA WAKANDARASI WALIOJENGA CHINI YA KIWANGO KURUDIA KAZI.

Loading...
KAMATI YA FEDHA BARAZA LA MADIWANI ILALA YATEMBELEA MIRADI ,YAAGIZA WAKANDARASI WALIOJENGA CHINI YA KIWANGO KURUDIA KAZI. - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa KAMATI YA FEDHA BARAZA LA MADIWANI ILALA YATEMBELEA MIRADI ,YAAGIZA WAKANDARASI WALIOJENGA CHINI YA KIWANGO KURUDIA KAZI., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : KAMATI YA FEDHA BARAZA LA MADIWANI ILALA YATEMBELEA MIRADI ,YAAGIZA WAKANDARASI WALIOJENGA CHINI YA KIWANGO KURUDIA KAZI.
link : KAMATI YA FEDHA BARAZA LA MADIWANI ILALA YATEMBELEA MIRADI ,YAAGIZA WAKANDARASI WALIOJENGA CHINI YA KIWANGO KURUDIA KAZI.

soma pia


KAMATI YA FEDHA BARAZA LA MADIWANI ILALA YATEMBELEA MIRADI ,YAAGIZA WAKANDARASI WALIOJENGA CHINI YA KIWANGO KURUDIA KAZI.


Na John Luhende 
Mwamkba wa habari

Kamati ya fedha  ya baraza la Madiwani  Manispaa ya Ilala mewataka wakandarasi walichukua kandarasi ya ujenzi wa madarasa  na ofisi za serikali za mitaa na ofisi za watendaji  kuhakikisha wanajenga kwa viwango  na ubora.


Hayo yamesemwa na naibu Meya wa Manispaa ya Ilala Omary Kumbilamoto wakati wa ziara ya kamati ya fedha  kukagua maendeleo ya ujenzi wa Madarasa  miradi ya ujenzi wa ofisi za Serikali za mitaa katika  maeneo ya Chanika ,Buyuni,Bonyokwa ,Kivule na Kimanga na kuwaka waliojenga chini ya kiwango  kurudia ujenzi.
”Halmashauri iliidhinisha jumla ya shilingi  Milion 300.7 kwaajili ya ujenzi huu  na sas tumegundua kuwa fedha hizi kwa asiima 99  zimetumika vizuri na tumesisitiza  wakandarasi kumalizia pale ambapo tume waambia warudie na pale ambapo hawaja kamilisha  wakamilishe nafedha zao zipo tayari” alisema
Aidha akizungumzia upungufu wa madarasa amesema Manispaa itaendelea kujenga vyumba vya Madarasa ilikukabiliana na msongamano wa wanafunzi  katika shule ambazo bado zinaupungufu wa vyumba vya Madarasa.
‘’Kamati imeona kuna idadikubwa kwa baadhi ya madara tumejipanga kukabili tatizo hili na sasa plan yetu nikujenga madarasa ya ghorofa katika shule zetu  tatizo litakwisha muda simrefu”alisema

Hata hivyo  amewataka walimu kufanya kazi kwa bidi na kusema kuwa  manispaa itaendelea kufanyia kazi changamoto zao , na kuwataka kueleza matatizo yao kwa ofisi ya mkurugenzi na Meya ilikuweza kufaniwa kazi  na kuendelea na kazi ya kufundisha kwa ari.

Naye mkuu wa shule ya  sekondari  Nguvu mpya  liyoko Chanika ,  Mwalimu  Hamis Ernest Masatu amesema  kujengwa kwa  vyumba vitatu vya madarasa katika shule hapo kumepunguza kwa kiasi usumbufu kwa wanafuzi  ingawa bado kunaidadi kubwa  ya wanafuzi  kwa kila darasa ukilinganisha na utaratibu wa kawadi wa ambapo kwa mujibu wa mwongozo wa Wizara ni wanafunzi 45 kwa kila darasa lakini kwa baadh ya madarasa wanakaa hadi wanafunzi 100.


“Namuomba  Mkurugezi azipe kipaumbele shule zenye wanafunzi wengi kujengewa madarasa  “ alisema


Hivyo makala KAMATI YA FEDHA BARAZA LA MADIWANI ILALA YATEMBELEA MIRADI ,YAAGIZA WAKANDARASI WALIOJENGA CHINI YA KIWANGO KURUDIA KAZI.

yaani makala yote KAMATI YA FEDHA BARAZA LA MADIWANI ILALA YATEMBELEA MIRADI ,YAAGIZA WAKANDARASI WALIOJENGA CHINI YA KIWANGO KURUDIA KAZI. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala KAMATI YA FEDHA BARAZA LA MADIWANI ILALA YATEMBELEA MIRADI ,YAAGIZA WAKANDARASI WALIOJENGA CHINI YA KIWANGO KURUDIA KAZI. mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/07/kamati-ya-fedha-baraza-la-madiwani.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "KAMATI YA FEDHA BARAZA LA MADIWANI ILALA YATEMBELEA MIRADI ,YAAGIZA WAKANDARASI WALIOJENGA CHINI YA KIWANGO KURUDIA KAZI."

Post a Comment

Loading...