Loading...
title :
link :


Katibu Mkuu UVCCM Taifa Ndugu Mwl. Raymond Mwangwala amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkazi wa Taasisi ya NDI nchini Bi Sandy Quimbaya ofisi ndogo za UVCCM Upanga jijini Dar es Salaam mapema leo Julai 05, 2018.
Katika mazungumzo yao wamekubaliana kushirikiana katika mafunzo ya kuwajengea uwezo Vijana kiuongozi, kisiasa, matumizi ya teknolojia, ushiriki wa vijana katika kutunza umani na usalama wa nchi.
#TukutaneKazini
Hivyo makala
yaani makala yote
Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/07/katibu-mkuu-uvccm-taifa-ndugu-mwl.html
0 Response to " "
Post a Comment