Loading...

MWENGE WA UHUR U WAINGIA KIGAMBONI WAZINDUA MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BILION 9.8

Loading...
MWENGE WA UHUR U WAINGIA KIGAMBONI WAZINDUA MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BILION 9.8 - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MWENGE WA UHUR U WAINGIA KIGAMBONI WAZINDUA MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BILION 9.8, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MWENGE WA UHUR U WAINGIA KIGAMBONI WAZINDUA MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BILION 9.8
link : MWENGE WA UHUR U WAINGIA KIGAMBONI WAZINDUA MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BILION 9.8

soma pia


MWENGE WA UHUR U WAINGIA KIGAMBONI WAZINDUA MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BILION 9.8

 Mwamba wa habari
Mwenge wa Uhuru umezindua na kukagua  miradi sita yenye thamani ya shilingi billion 9.8 Wilayani Kigamboni jijini Dar es Salaam.

Miradi iliyozinduliwa ni pamoja na Jengo la Ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Kigamboni litakalogharimu jumla ya shilingi bilioni 5.4, Jengo la Madarasa la ghorofa mbili katika Chuo cha   Afya  cha Kigamboni city College yenye thamani ya shilingi billion 2.7 na maabara ya kutotolesha, kiwanda cha kuhatarisha nataka cha Mema Holdings Ltd. 

Miradi iliyo kaguliwa ni pamoja na mradi wa eneo la viwanda  na sehemu  soko la kuuza magari Kisarawe II unaotekelezwa na Ofisi ya Mkoa  mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam kwa kushirikiana na kampuni ya City Property International Ltd.

Hatahivyo Kiongozi  wa mbio za Mwenge kitaifa mwaka 2018 Charles Kabeho  hakuweka jiwe la msingi mradi wa ujenzi wa shule ya Sekondari Kigamboni kutokana na kutokana na kukosa vigezo kwa kwakuwa jengo halijafikia katika usawa wa linta.

"Napenda kuwaongeza mradi huu ni mzuri nimeukagua nimejiridhisha haunadosali, ispkuwa katika taratibu za kuweka jiwe la msingi hajafika ili takiwa jengo lifike katika hatua ya linta" alisema Kabeho.

Pia amemwaagiza mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Hashim Mgandilwa kufanyia tathimini mradi wa ugawaji Pikipiki 18 kwa vikundi vya Vijana.

"Usigawe hizi Pikipiki mpa pale utakapojiridhisha kuwa vikundi vyote vimesajiliwa kwa sababu fedha za mradi huu zinatokana na mgawo wa asilimia kumi za Halmashauri ni fedha za serikali lazima ziweze na maelezo ya kutosha" alisema.












Hivyo makala MWENGE WA UHUR U WAINGIA KIGAMBONI WAZINDUA MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BILION 9.8

yaani makala yote MWENGE WA UHUR U WAINGIA KIGAMBONI WAZINDUA MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BILION 9.8 Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MWENGE WA UHUR U WAINGIA KIGAMBONI WAZINDUA MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BILION 9.8 mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/07/mwenge-wa-uhur-u-waingia-kigamboni.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "MWENGE WA UHUR U WAINGIA KIGAMBONI WAZINDUA MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BILION 9.8"

Post a Comment

Loading...