Loading...

SAKATA LA KUPOTEA 'MBWA ASKARI'LACHUKUA SURA MPYA, WAZIRI AAGIZA UCHUNGUZI UFANYIKE, IGP SIRRO APEWA JUKUMU

Loading...
SAKATA LA KUPOTEA 'MBWA ASKARI'LACHUKUA SURA MPYA, WAZIRI AAGIZA UCHUNGUZI UFANYIKE, IGP SIRRO APEWA JUKUMU - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa SAKATA LA KUPOTEA 'MBWA ASKARI'LACHUKUA SURA MPYA, WAZIRI AAGIZA UCHUNGUZI UFANYIKE, IGP SIRRO APEWA JUKUMU, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : SAKATA LA KUPOTEA 'MBWA ASKARI'LACHUKUA SURA MPYA, WAZIRI AAGIZA UCHUNGUZI UFANYIKE, IGP SIRRO APEWA JUKUMU
link : SAKATA LA KUPOTEA 'MBWA ASKARI'LACHUKUA SURA MPYA, WAZIRI AAGIZA UCHUNGUZI UFANYIKE, IGP SIRRO APEWA JUKUMU

soma pia


SAKATA LA KUPOTEA 'MBWA ASKARI'LACHUKUA SURA MPYA, WAZIRI AAGIZA UCHUNGUZI UFANYIKE, IGP SIRRO APEWA JUKUMU

Na Said Mwishehe,Globu ya jamii

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi Kangi Lugola amesma wamekubaliana na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchin IGP Simon Sirro kuanza uchunguzi wa kina kuhusu mbwa aliyepotea.

Amefafanua mbwa aliyepotea anayo mafunzo yote ya kukamata wahalifu na anao uwezo mkubwa wa kukabiliana na matukio ya kihalifu kama askari,hivyo kupotea kwa mbwa huyo lazima uchunguzi huo ufanyike.

Lugola ametoa kauli hiyo leo jijini Dar es Salaam ambapo pamoja na mambo mengine amesema tayari IGP Sirro amemueleza kuwa ameanza uchunguzi wa mbwa huyo na kwamba ni vema mjadala wa mbwa huyo ukasitishwa ili uchunguzi ufanyike.

Amefafanua katika ziara ambayo ameifanya hizo hivi karibuni katika vyombo vya ulinzi na usalama amepata nafasi ya kwenda katika kikosi cha mbwa na farasi."Mbwa na farasi walioko kwenye kikosi hicho 
wanatengewa fedha za chakuka na malazi.Mbwa na Farasi hao wanafanya kazi mbalimbali za ulinzi,"amesema Lugola.

Ameongeza maelezo ambayo aliyapata akiwa katika kikosi cha farasi na mbwa yanatofautiana na kila makabidhiano yanapofanyika kunakuwa na tofauti ya taarifa.Amesema katika kikosi hicho mbali ya farasi mbwa walikuwa sita lakini kwa sasa wamebaki watano na mmoja haieleweki yupo wapi.

"Nimekubaliana na IGP kufanya uchunguzi wa nini kimetokea hadi mbwa akapotea.Kwa kuwa jambo hilo linakwenda kuchunguzwa ni vema likaachwa sasa lifanyiwe uchunguzi," amesema Waziri Lugola.

Kwa siku kadhaa moja ya mjadala ni habari ya kupotea kwa mbwa mwenye mafunzo yote ya kipolisi na mbwa hao nao hujukana kama polisi na baada ya kubainika kupotea Lugola alitoa maagizo ya kutafutwa mbwa huyo.


Hivyo makala SAKATA LA KUPOTEA 'MBWA ASKARI'LACHUKUA SURA MPYA, WAZIRI AAGIZA UCHUNGUZI UFANYIKE, IGP SIRRO APEWA JUKUMU

yaani makala yote SAKATA LA KUPOTEA 'MBWA ASKARI'LACHUKUA SURA MPYA, WAZIRI AAGIZA UCHUNGUZI UFANYIKE, IGP SIRRO APEWA JUKUMU Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala SAKATA LA KUPOTEA 'MBWA ASKARI'LACHUKUA SURA MPYA, WAZIRI AAGIZA UCHUNGUZI UFANYIKE, IGP SIRRO APEWA JUKUMU mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/07/sakata-la-kupotea-mbwa-askarilachukua.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "SAKATA LA KUPOTEA 'MBWA ASKARI'LACHUKUA SURA MPYA, WAZIRI AAGIZA UCHUNGUZI UFANYIKE, IGP SIRRO APEWA JUKUMU"

Post a Comment

Loading...