Loading...

Sherehe za uwekaji Mkuku kwa meli mpya ya Mafuta ya Zanzibar zafanyika nchini China

Loading...
Sherehe za uwekaji Mkuku kwa meli mpya ya Mafuta ya Zanzibar zafanyika nchini China - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Sherehe za uwekaji Mkuku kwa meli mpya ya Mafuta ya Zanzibar zafanyika nchini China, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Sherehe za uwekaji Mkuku kwa meli mpya ya Mafuta ya Zanzibar zafanyika nchini China
link : Sherehe za uwekaji Mkuku kwa meli mpya ya Mafuta ya Zanzibar zafanyika nchini China

soma pia


Sherehe za uwekaji Mkuku kwa meli mpya ya Mafuta ya Zanzibar zafanyika nchini China

 Waziri wa  Ujenzi  Mawasiliano na Usafirishaji  Mhe Dk Sira Ubwa Mamboya akiwa na Waziri wa Fedha na Mipango Mhe Dk Khalid Salum Mohammed wakiweka alama katika mkuku wa Meli mpya  Mafuta ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar  katika eneo Maalum la utengenezaji Meli ya Kampuni ya DAMEN ya Uholanzi katika Mji wa Yichang, Hubei China
 Ujumbe wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar ukiongozwa na Waziri wa Fedha na Mipango Mhe Dk Khalid Salum Mohammed ( wa Kwanza Kulia) akifuatiwa na Waziri wa Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Dk Sira Ubwa Mamboya. Wengine ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe Said Hassan, Katibu ( Mtendaji Tume ya Mipango, Juma Reli na Katibu Mkuu Wizara Fedha na Mipango, Khamis Mussa.(Mbele kabisa) ni Katibu Mkuu Wizara Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Mustafa Aboud Jumbe

Waziri wa Fedha na Mipango Mhe Dk Khalid Salum Mohammed ( Kulia) akiongoza Ujumbe wa SMZ katika sherehe za ukataji vyuma na kuviunganisha kuwekwa mkuku katika Meli mpya ya Mafuta ya Serikali. ( Katikati)ni Waziri wa Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Dk Sira Ubwa Mamboya na ( Kushoto) Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe Said Hassan wakiwa Nchini China ambapo Meli hiyo inayotemgenezwa na Kampuni ya DAMEN ya Uholanzi


Hivyo makala Sherehe za uwekaji Mkuku kwa meli mpya ya Mafuta ya Zanzibar zafanyika nchini China

yaani makala yote Sherehe za uwekaji Mkuku kwa meli mpya ya Mafuta ya Zanzibar zafanyika nchini China Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Sherehe za uwekaji Mkuku kwa meli mpya ya Mafuta ya Zanzibar zafanyika nchini China mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/07/sherehe-za-uwekaji-mkuku-kwa-meli-mpya.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Sherehe za uwekaji Mkuku kwa meli mpya ya Mafuta ya Zanzibar zafanyika nchini China"

Post a Comment

Loading...