Loading...

Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wamuaga Mkurugenzi Mtendaji Ian Ferrao

Loading...
Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wamuaga Mkurugenzi Mtendaji Ian Ferrao - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wamuaga Mkurugenzi Mtendaji Ian Ferrao, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wamuaga Mkurugenzi Mtendaji Ian Ferrao
link : Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wamuaga Mkurugenzi Mtendaji Ian Ferrao

soma pia


Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wamuaga Mkurugenzi Mtendaji Ian Ferrao

 Mkurugenzi Mtendaji  wa Vodacom Tanzania  Plc aliyemaliza muda wake, Ian Ferrao akiwapungia mikono wafanyakazi wa Kampuni hiyo  ikiwa ni ishara ya kuwaaga wakati wa hafla ya kumuaga iliyofanyika katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
 Mkurugenzi Mtendaji  wa Vodacom Tanzania Plc aliyemaliza muda wake, Ian Ferrao akiwashukuru wafanyakazi wa Kampuni hiyo wakati wa hafla ya kumuaga iliyofanyika katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
 Mkurugenzi Mtendaji  wa Vodacom Tanzania Plc, Ian Ferrao aliyemaliza muda wake  (kulia) akikabidhi zawadi na Meneja Ruzuku wa Vodacom  Vodacom Tanzania Foundation  Sandra Oswald  kwa niaba ya wafanyakazi wa kitengo cha Corporate Affairs   wakati wa hafla ya kumuaga iliyofanyika katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
 Mkurugenzi Mtendaji  wa Vodacom Tanzania aliyemaliza muda wake, Ian Ferrao akivishwa shuka la kimasai  ikiwa ni sehemu ya zawadi na mmoja wa wafanyakazi wa Kampuni hiyo,  wakati wa hafla ya kumuaga iliyofanyika katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
 Mkurugenzi Mtendaji  wa Vodacom Tanzania Plc aliyemaliza muda wake, Ian Ferrao  akiwa na mke wake baada ya kukabidhiwa zawadi za mila za kimasai na wafanyakazi wa Vodacom Tanzania Plc, wakati wa hafla ya kumuaga iliyofanyika katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.


Mkurugenzi Mtendaji  wa Vodacom Tanzania Plc aliyemaliza muda wake, Ian Ferrao akiangalia zawadi alipokuwa akikabidhiwa na wafanyakazi wa kampuni hiyo  wakati wa hafla ya kumuaga iliyofanyika katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.

KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA


Hivyo makala Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wamuaga Mkurugenzi Mtendaji Ian Ferrao

yaani makala yote Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wamuaga Mkurugenzi Mtendaji Ian Ferrao Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wamuaga Mkurugenzi Mtendaji Ian Ferrao mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/07/wafanyakazi-wa-vodacom-tanzania-wamuaga.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wamuaga Mkurugenzi Mtendaji Ian Ferrao"

Post a Comment

Loading...