Loading...

WEMA SEPETU AHUKUMIWA MWAKA MMOJA JELA AU KULIPA FAINI SH.MILION MBILI

Loading...
WEMA SEPETU AHUKUMIWA MWAKA MMOJA JELA AU KULIPA FAINI SH.MILION MBILI - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WEMA SEPETU AHUKUMIWA MWAKA MMOJA JELA AU KULIPA FAINI SH.MILION MBILI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : WEMA SEPETU AHUKUMIWA MWAKA MMOJA JELA AU KULIPA FAINI SH.MILION MBILI
link : WEMA SEPETU AHUKUMIWA MWAKA MMOJA JELA AU KULIPA FAINI SH.MILION MBILI

soma pia


WEMA SEPETU AHUKUMIWA MWAKA MMOJA JELA AU KULIPA FAINI SH.MILION MBILI

Na Karama Kenyunko,Globu ya jamii

MAHAKAMA  ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemuhukumu muigizaji wa Bongo movie Wema Sepetu kulipa faini ya jumla ya sh. Milioni mbili au kutumikia kifungo cha mwaka mmoja  baada ya kupatikana na hati. a katika kesi ya kukutwa na  kutumia dawa za kulevya

Hata  hivyo, Mahakama imewaachia huru wafanyakazi wake Wema, Matrida Abbas na Angelina Msigwa aliokuwa akishtakiwa nacho baada ya upande wa mashtaka kushindwa kuthibitisha mashtaka dhidi yao

Hukumu hiyo imesomwa na Hakimu Mkazi Mkuu Thomas Simba.

Akisoma hukumu hiyo leo Hakimu Mkuu  Simba amesema, upande wa Mashtaka umeweza kuthibitisha pasipo kuacha shaka kuwa, mshtakiwa Wema alitenda kosa la kutumia na kukutwa na dawa za kulevya.

Kabla ya kusomwa kwa Hukumu hiyo leo Julai 20 mwaka 2018, mashahidi upande wa mashtaka kupitia Wakili wake, Constantine Kakula waliwasilisha mashahidi 5 ambao wameweza kuthibitisha mashtaka pasipo kuacha shaka kuwa mshtakiwa Wema ametenda kosa.

Kwa upande wa washtakiwa walitoa utetezi wao wakiongozwa na Wakili Albert Msando  na walipomaliza walifunga ushahidi wao na kufunga kesi yao.Pande zote ziliwasilisha hoja za majumuisho za mwisho na hatimaye kesi ikapangiwa tarehe ya hukumu .

Huku watuhumiwa akijitetea wenyewe.
 
Wema na wafanyakazi wake hao walikuwa wakishtakiwa na kosa la kukutwa na kiasi kidogo cha madawa ya kulevya chini ya kifungu cha sheria namba 17 (1)(b) cha sheria inayodhibiti matumizi ya dawa za kulevya.

Walidaiwa kutenda kosa hilo Tarehe 4 February mwaka jana huko nyumbani kwao Kunduchi Ununio
 Pichani kulia Wema Sepetu akiwa na Mama yake wakiwa katika ukumbi wa wazi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu alipokuwa akisubiri kusomewa hukumu yake dhidi ya kesi inayomkabili ya matumizi ya dawa za kulevya 
 Wa pili kulia Wema Sepetu akiwa katika ukumbi wa wazi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu alipokuwa akisubiri kusomewa hukumu yake dhidi ya kesi inayomkabili ya matumizi ya dawa za kulevya.Wema Sepetu aliambatana na Mama yake pamoja na Ndugu,jamaa na marafiki zake.
Wa pili kulia Wema Sepetu akiwa katika ukumbi wa wazi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu alipokuwa akisubiri kusomewa hukumu yake dhidi ya kesi inayomkabili ya matumizi ya dawa za kulevya.Wema Sepetu aliambatana na Mama yake pamoja na Ndugu,jamaa na marafiki zake.


Hivyo makala WEMA SEPETU AHUKUMIWA MWAKA MMOJA JELA AU KULIPA FAINI SH.MILION MBILI

yaani makala yote WEMA SEPETU AHUKUMIWA MWAKA MMOJA JELA AU KULIPA FAINI SH.MILION MBILI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala WEMA SEPETU AHUKUMIWA MWAKA MMOJA JELA AU KULIPA FAINI SH.MILION MBILI mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/07/wema-sepetu-ahukumiwa-mwaka-mmoja-jela.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "WEMA SEPETU AHUKUMIWA MWAKA MMOJA JELA AU KULIPA FAINI SH.MILION MBILI"

Post a Comment

Loading...