Loading...

Mbunge na Mwakilishi wa jimbo la Chumbuni waungana na watoto mayatima katika chakula cha mchana

Loading...
Mbunge na Mwakilishi wa jimbo la Chumbuni waungana na watoto mayatima katika chakula cha mchana - Hallo rafiki SOMA LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Mbunge na Mwakilishi wa jimbo la Chumbuni waungana na watoto mayatima katika chakula cha mchana, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala general, makala kisiasa, makala kitamaduni, makala kiuchumi, makala mambo mapya, makala michezo, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Mbunge na Mwakilishi wa jimbo la Chumbuni waungana na watoto mayatima katika chakula cha mchana
link : Mbunge na Mwakilishi wa jimbo la Chumbuni waungana na watoto mayatima katika chakula cha mchana

soma pia


Mbunge na Mwakilishi wa jimbo la Chumbuni waungana na watoto mayatima katika chakula cha mchana

 Mwenyekiti wa Taasisi ya Pondeza Foundation akiwa pia ni Mbunge wa Jimbo la Chumbuni Ussi Salum Pondeza akishiriki pamoja na Wananchi wa Jimbo hilo kusoma  dua ya kuwaombea wazee waliotangulia mbele ya haki katika Chakula cha mchana kilichotayarishwa na Taasisi hiyo kwa Watoto yatima na wenyemazingira magumu katika Hoteli ya Maruhubi Beach Villa Zanzibar.
 Mwenyekiti wa Taasisi ya Pondeza Foundation akiwa pia ni Mbunge wa Jimbo la Chumbuni Ussi Salum Pondeza akijumuika na Watoto Mayatima na wenye mazingira magumu  katika Chakula cha mchana kilichotayarishwa na Taasisi hiyo kwa Watoto yatima na wenyemazingira magumu katika Hoteli ya Maruhubi Beach Villa Zanzibar.
Muakulishi wa Jimbo la Chumbuni Miraji Khamis Mussa akijumuika na Watoto Mayatima na wenye mazingira magumu  katika Chakula cha mchana kilichotayarishwa na Taasisi Pondeza Foundeshen katika  Hoteli ya Maruhubi Beach Villa Zanzibar.

PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.


Hivyo makala Mbunge na Mwakilishi wa jimbo la Chumbuni waungana na watoto mayatima katika chakula cha mchana

yaani makala yote Mbunge na Mwakilishi wa jimbo la Chumbuni waungana na watoto mayatima katika chakula cha mchana Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Mbunge na Mwakilishi wa jimbo la Chumbuni waungana na watoto mayatima katika chakula cha mchana mahali kiungo https://somalatest.blogspot.com/2018/08/mbunge-na-mwakilishi-wa-jimbo-la_22.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Mbunge na Mwakilishi wa jimbo la Chumbuni waungana na watoto mayatima katika chakula cha mchana"

Post a Comment

Loading...